Nyani huwa haoni kirakawe kalioni bali hucheka cha wenziwe.
Mkeovunaemuacha nyumbani ni mke wetu mtaani au mke wetu ktk nyumba tuliopanga au ni mke wetu ktk kikazi ulichomfungulia mjini au mtaani popote.
Nikwambie tu mwanamke ni yule yule popote alipo hajawahi kumuacha mwanaume salama
Pole mzee baba, ulikosea kumpokea alipoletwa na wazazi, hapa ndipo ulipopigwa.
Binafsi yalinikuta japo ni tofauti kidogo, wazazi walinijia juu mbaya kuhusu kumrudisha, mama akatishia hadi kuniachia laana nikamwambia we niachie tu hiyo laana mama haina shida, baba akawa mkali nikamwambia bora...
Hawa huwa wanakua wamekufa marinda yote hili liko wazi.
Zanzibar mnajitahidi sana kuipromote lakini ndio chimbuko la usenge, chimbuko la vijana ambao shule hakuna kichuani, chimbuko la ujinga mwingi hata wa kudini mfano kumnyima mtu kula hadharani wakati wa Ramadhan, huu ni ujinga.
Unatafuta sababu tu za kumkataa, huna haja ya kuanzia mbali au kuzunguka sana, we mkatae tu yaishe.
Hata wewe ukijakuwa na familia hatakuomba msaada pia coz utakuwa na majukumu muhimu, mbona kakujibu poa sana?
Basi kipindi cha nyuma kidogo nilikuwa nikisikia kardinali nilikuwa natetemeka naheshimu naogopa ila tangu nijue dunia imejaa utapeli mwingi na watu wanatumia dini kujinufaisha nasali kwangu na Mungu wangu.
Baba umevutugwa vibaya mno basi ulivyoandika ni kama sisi ndio mama mkwe zako, hasira umezileta huku badala ya kwa mama mkwe.
Tuliza akili, tumia busara tumia hekima, jitafakari na wewe umekosea wapi kabla ya kumvaa mama mkwe. Isije kuwa unamnyanyasa mwanae halafu unataka kuleta undava wako kwa...
Hakuna Taifa la Kiislam linaliweza kuitisha Marekani, hili halina mjadala. Hii sio vita ya Iran na Israel bali vita kati ya Urusi na Markani ktk ardhi ya Iran.
Hawa watu ni wala rushwa kubwa namba 1 hapa Tanzania, sio kwamba serikali haijui inajua na inawafumbia macho, wana utajiri mwingi wa kutupwa waliouficha maeneo tofautitofauti na kwa majina ya ndugu zao.
Siku moja mzigo wangu ulikamatwa wakaufikisha ofisini kwao, baada ya jitihada flani...
Jifunze kwanza maana ya makapi ndio uje hapa na bangi yako ya Wasenge wa Marekani isio na mbegu, hata bangi unataka kuuaminisha uma kuwa bangi ya ulaya ni bora kuliko ya Afrika!!! Acha kuwa mtumwa wa fikra, acha kukariri uzungu mwingi ugonjwa wa akili.
Ukiona mwanaume anaachana na mwanamke mzuri jua amevumilia mpaka akakiona kifo chake ndipo akakubali kuwa basi yaishe kama ni maisha vs mwanamke mzuri.
Jana nilimsikia akisema wenzetu nao wameleta maimbi ili serikali iwape msaada. Kuna kipande akasema "kama tulivyoongea pale jangwani tulipokuwa tunawaaga waliotangulia na bus". Binafsi nikaona kumbe Waziri wa michezo kujionyesha hadharani kuwa yu upande fulani sio kosa kwa mujibu wa serikali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.