Hivi yule punda mbebaji ilikuwa na haja gani ya kumpima kama anatumia na dhamana wakampa angali anajulikana kabisa ni mbebaji na mtumiaje iweje wamuachie kwa kutumia angali aliwahi kukamatwa bondeni kwa kesi ya MADAWA
kuna nafasi zimebaki nini ama kuna tetesi mtu anakatishiwa ugali wake hadi mtu aanze kutafuta kiki. kaza buti watatenguliwa hata wafanya usafi pale magogoni kisha utapata shavu hata la kukata majini na kuhudumia Tausi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.