Wingu la sintofahamu kuhusu kifo cha mfanyabiashara wa madini aliyedaiwa na polisi kujiua mkoani Geita (runzewe) baada ya ndugu wa marehemu kukataa kuuzika mwili wa marehemu mpaka uchunguzi (postmortem) ufanyike na hela zinazokadiriwa 300m alizokuwa nazo nyumbani kwake zilichukuliwa na polisi...
Habari wana jf,nimepata habari toka kwa jamaa yangu alieko gta kuwa dr slaa na g.lema leo (mida hii)wanaeneza moto wa ukombozi kwa wakazi wa gta,kama kuna mwana jf aliyeko sehmu ya tukio tafadhali atupe live
Kuna habari ziliandikwa na gazeti la MWANANCHI jnne kwamba wafanyakazi 40 wa mgodi wa geita walifoji vielelezo na kujipatia mamilioni toka nssf huku wakiendelea na kazi kinyume cha sheria iliyoanzisha mfuko huu,habari zinaeleza hawa watu hawajachukuliwa hatua yoyote pamoja na kujulikana pengine...
Wadau hii nimeiona ktk mojawapo ya mikutano ya cdm,polisi wakikunja ngumi kuitikia salam ya nguvu ya umma,nimekubali pipooos pr ni noma na ndo sababu labda ya serkali nzima kuchanganyikiwa wameona hata vyombo vya dola wanavyojidai navyo vitawahasi muda si mrefu,mmeuona jaman mkutano wa pm pale...
Wadau wapenda maendeleo nipo ktk mji mdogo wa katoro mpakani mwanza na kagera hali ni ya mashamsham utafikiri anakuja cjui nani maana hata rais huwa cio hivi,muda mfupi ujao kutakuwa na maandamano na mkutano wa hadhara,hii ni wakeup cal kwa cheyo,wasira, nk wanaowatia hofu wtz,kwa hali ilivyo...
Ama kweli hatuna serikali,tumeona jinsi nchi mbalimbali zinavyohangaika kuwatoa raia wake Libya,kenya wametuma hadi ndege!Tanzania ni kimya!ina maana hakuna wtz huko??au mtz hana thamani hata akifa??ni wakati wa kuweka serikali itakayothamini wtz hii imeshindwa,leo hii mtz ni kama takataka hata...
Nimefatilia mapokezi ya rais wa china pale white house,wakati shughuli ikiendelea mtaani watu wanaandamana kupinga ziara hiyo kutokana rekodi mbovu ya china ya haki za binadamu,hata spika wa baraza la wawakilishi hakuudhulia dhifa ya kitaifa,wtz wenzangu sikuona mabumu machozi wala risasi,watu...
Wanajamii nimeshtuka leo gazeti la mtanzania limemkariri waziri mteule nyarandu akidai atapigana kuhakikisha anatokomeza nyumba za tembe,sio hawahawa waliokuwa wanambeza dr slaa?kweli ccm wamefikia uko wa fikiri kilichobaki ni kutekeleza maagizo ya dr wa ukweli mpaka 2015 tuwatupilie...
Haya polisi wamenyanganywa bunduki,raia wanauawa na majambazi na kuporwa mali zao,sasa huyu shimbo aliyeapa kupambana na raia wkt wa uchaguzi yupo wapi jaman atumie maguvu yake kwa majambazi??au kwakuwa ni kgm ni sawa?tunamtaka atokeze na kutupa mkakati wa kulinda wananchi dhidi ya huu uvumjifu...
Wadau vumbi la viti maalum ubunge limetua,sasa hivi viti vya udiwani vinapatikanaje?yaani ni fomula gani itatumiwa na tume?mwenye data namna vinapatikanaje amwage hapa!
Kitendo cha "mzee wa vijisent"kuchukua fomu ya uspika ili kulinda maslahi ya mafisadi bungeni,ni mtego mwingine kwa serkali ya kikwete na wabunge wake baada ya ule wa kikwete kupita majimbon akiwanadi,wakimpitisha tu upinzani utapata agenda ya kuanzia ambayo hata wafadhili watawaunga mkono,wadau...
Nani anabeza mguvu ya umma?niwapongeze mmepiga kura kwa fujo,na mmedai matokeo yenu na walipochelewesha ili wachakachue mkawaonyesha jinsi nguvu ya umma ilivyo,next time hawatarudia.....vijana sehm zingine amkeni mkomboe nchi
Nikiwa njia kutoka mji mdogo wa katoro(busanda),ghafla wakati tunaaza kuingia gta mjini nje kidogo ya centre ya nyankumbu nikaona magari ya kampeni ya mgombea wa ccm yamesimama green gud wake wakimpiga mwendesha baiskeli kwa kumchangia eti amewaonyesha alama ya chadema,ni kitendo cha ajabu sana...
Tumesikia jinsi dr slaa alivyozimiwa umeme kule mbeya na rukwa,sasa leo ni zamu ya lipumba hapo geita,alipoingia tu asubui kufikia saa 5 umeme ukakatwa na wakazi wa geita leo watalala giza maana nackia lipumba atalala hapo.halafu hata dr slaa alipoingia geita jioni tar 12/09 umeme ulikatwa hadi...
Tumeshuhudia kikwete(wengne wanatanguliza dr)baada ya kuanza kampeni kituo kilichofata mwanza,leo tena naona yupo mwanza kulikoni?dr slaa nae tumeona baada ya dsm mojawapo ya vituo vilivyofata ni kanda ya ziwa,hawa wagombea hawajaenda kusini kulikon?ina maana lipumba aliyekaa mwezi mikoa ya...
Kwa uchu wa madaraka unaonyeshwa na ccm na kauli mbiu yao ya ushindi lazima tutegemee machafuko baada ya 31oct. Mfano ktk jimbo la busanda kata ya rwamgaza hali si shwali maana ccm kwa kutumia kikosi kiitwacho greengud kinatumika kuwawinda wafuasi wa chadema na kuwapiga baada ya kuona upepo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.