Ndugu yangu Mikataba yeyote ya kuzaa inje ya ndoa ni matatizo tu
Hunabudi kukubali tatizo hili
na huyu Mtoto wenu atabaki kuwa mtoto wenu tu hata kama akibaki kwa Huyo mama.
ANGALIA DNA za mtoto
Mambo ya pesa ni Utumwa kwenu na ni ujinga kwa huyo mama maana hajui kuwa siku nyie hampo atapata...
haya ndio maisha bora ya walala hoi ,wafanyakazi , wakulima na wala sio kwa wanasiasa wenye 12mil. Income
Tusherehekee Migao ya Umeme na Bei za Juu kwa bidhaa zote. Hiyo ni Bora sana kwa Wazalendo pia pendekeza kuongezwa kwa Bei mara dufu maana ni bora tuongeze mishahara ya viongozi wetu ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.