Hii ndio Tanganyika maneno na matamko kibao mara hili mara lile!! Ushuzi mtupu mara mgao wa umeme utakuwa hadithi mara ifikapo sijui lini!! Ngeleja anakula raha na totoz clab sijui kwa kuwa wao kwao haukatiki na hata ukikatika wa vyanzo mmbadala !! Kiama chao chaja
Mtu makini siku zote huishi kwa yale aaminiyo na milele husimamia yale aaminiyo kuwa ni suruhisho kwa wengi..! Maneno matupu bila vitendo ni sawa na gar bila dereva..! Bravo CDM weng tupo nyuma yenu....!
kuwa namba moja kwa muda haishindikani,ila kuwa namba moja milele haiwezekani hasa ukiwa huna plan madhubiti za ku-maintain status yako! Kifo chao cha usanii kipo mlango unaofuata....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.