Ndugu toleo jipya la Epson L850 lina sifa kama za Epson Px660 wino wa nje,scanner,copier, printer, wino wa nje wa kumimina, ubora wa picha wa hali ya juu. Bei ni 1.4m tu. Wahi zipo chache ni mpyaaaa. 0754/0784 626616 kwa maelezo zaidi. Tupo Arusha
Salaam Natafuta toner/wino wa Xerox WorkCentre Pro 428 photocopy machine ambao part number yake ni
113R00634. Ukiipata nipate kwa namba 0754626616 Arusha.
Jipatie Epson L210 Printer Mpya kwa bei poa. Wino ni wa nje, Ina scanner, copier na printer hapo hapo. Kwa maelezo zaidi na bei ni PM au piga 0754626616. Karibuni ipo Arusha na utatumiwa popote ulipo. http://www.epson.eu/ix/en/viewcon/corporatesite/products/mainunits/specs/11797
Epson L210 mpaya ina scanner, copier na printer ila kikubwa zaidi inatumia wino wa nje. Ajabu pevu ni bei yake poa ni laki 5 tu. Ni PM kwa maswali na jinsi ya kuipata nipo Arusha. Picha pia inaprint.
Unahitaji spea za Nachuatec/ Ricoh, Kyocera photocopy machine na wino (toner) wake wasiliana nasi kwa namba 0784626616 kwa bei poa kabisa. Ni GENUINE, ORIGINAL parts. Epukana na bei za kutisha BMTL. Taja model ya mashine yako, kifaa na part number. Karibuni.
Epson WorkForce 7515 printer, Inauzwa ni Printer, Copier, Scanner, Fax, Wireless yani Wi-Fi, Network port, card reader, Ina print A3 paper size na A4 kawaida, print picha lab quality inatumia wino wa nje yani Continous Inking System CISS wahi sasa inafaa hata kwa studio ni PM au piga 0754626616...
Jipatie HP Photosmart C7280 kwa bei poa, Ina print picha zenye ubora wa hali ya juu kwa kutumia wino wa nje hvyo faida kwako ni 99.9%. Ni pm au piga simu 0754626616 kwa maelezo zaidi tupo Arusha kaloleni ila popote ulipo itakufikia Tanzania.
Jipatie Epson printer mpyaa na wino wa nje kwa shilingi 300,000 tu. Print picha, documents zako bila hofu ya gharama za wino. Nipo Arusha ila mzigo utakufikia popote ulipo. Piga 0784626616 kwa maelezo zaidi.
Jipatie Epson printer iliyounganishwa na wino wa nje kwa sh. 300,000/= wahi kabla mzigo haujaisha. Print picha na documents za rangi bila hofu ya gharama za wino.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.