Kama umetazama vema utaona ishu sio hilo kapeti lefu la hasha.
Tatizo hapo ni viti vimesogezwa sana mbele maana nyuma kuna kapeti limeachwa ambalo lilikuwa mahsusi kwa dhana yako.
Kwani unadhani ni Waziri gani ambaye huwa hatekelezi aliyo yakuta yameachwa na mwenzie?
Na je unadhani hilo ni NJE ya majukumu yake ili tusimpe hongera?
Na je unadhani hapa tume mpa hongera au tumempamba?
Na je nikikwamboa wewe UNAWIVU utakataaa?
Kumbuka kuwa wakati huo Mh Wasira hakuwa Wizara hiyo,baada ya kuingia tu kaanza na kero za wakulima kwa kusimamia ulipaji madeni yao ya mahindi,
Na sasa anawasimamia kuwasogezea zana za kisasa za kilimo.
Binafsi nampongeza Mh Wasira.
Nikiwa kama mtanzania wa kawaida sina shaka na sitokuwa na shaka na matumizi ya KODI yangu...WATU KAMA MH WASIRA TUNAWAHITAJI SANA HASA WAKATI HUU KULIKO WAKATI MWINGINE WOWOTE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.