Maranyingi kama mtu unakaa mahali tulivu na kufikiria.
Unajitathmini mwenyewe na kulinganisha maisha yako sasa na miaka 1/2 au zaidi iliyopita.
Unagundua kuna vizuizi vingi mno umeshindana navyo au umeviondoa kwenye maisha yako na unajipa pongezi.
Motisha ya kuendelea kupambana na maisha...
Simlaum kwa sasa ila najaribu kuweka stori hii kama kumbukumbu kuwa ukiwa na familia basi jali familia hata kama maisha yako siyo mazuri upendo utakaouonyesha hata kama hujiwezi utasaidia sana kwa kizazi chako kukumbuka zaidi na zaidi.
Katika makuzi yangu nilipitia safari ambayo sikupendezwa nayo na leo ningeomba ni share pamoja na wengine wajue siyo vizuri pia kama nao wako hivyo.
Kipekee maisha yangu ya ukuaji nilikuwa bila mapenzi ya baba ilikuwa changamoto kubwa kwangu. Ingawa baba alikuwepo kimwili, hakuwa karibu nasi...
Tafuta Marafiki wa Ukweli - Nje ya Eneo unapoishi.
Habari JamiiForums
Ninafurahi kutafuta marafiki wa ukweli kupitia mtandao huu wa Jamii Forums. Mimi naitwa Jumanne, ninaishi Katoro lakini pia nawakaribisha wale ambao wako nje ya Katoro.
Nina hamu ya kujenga urafiki na watu wapya...
Ndio nafahamu mkuu sema nimewasilisha kama kutoa mfano kwamba "hatuwezi kuwa na mfanano wa pamoja wakati tuko tofauti huku nikijua kabisa wewe siyo ndugu yangu lazima nikukosee heshima nitakufanya unione mbaya ili niwe salama kwa tamaa yangu
Nimemaanisha kuwa hatuwezi kufanana kama wote ni wakiume wakati ni jinsia mbili tofauti uvumilivu utaisha nitakuomba mzigo hapo kunakuwa na urafiki! Au
Hapana mkuu 😁😁 umeninukuu vibaya kitu nachokwepa ni
Wanaume wengi tunakaza moyo tu pale tunakua na marafiki wa kike kwamba naweza chomekea urafiki ukapotea ila kamwe usianze kuchomekea nitakukula tu 😂😂akunaga urafika wa mkate na chai 🙌🙌
Katika maisha yangu nachotaka kusema mimi na urafiki na mwanamke haupo hata kama unajifanya mimi ni rafiki yako ntafanya niwezalo nikukosee maana mafahari wawili hawawezi kaa zizi moja.
Wapo wanaoweza ila Kwa upande wangu siwezi kama nilikutongoza ukasema hapana tuwe marafiki hapo ndio imeisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.