Jana WANAWAKE WA GEITA baada ya kusherekea sikuku yao. Hapo ni karibu na kwa Muheshimiwa Jiwe
Check out @UpendoPeneza’s Tweet:
Check out @UpendoPeneza’s Tweet:
SWISSME
Rais wa Rwanda Paul Kagame leo 08 Machi, 2019 amemaliza ziara yake ya kikazi ya siku 2 hapa nchini na kurejea nchini kwake, ambapo hapo jana alifanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Mara baada ya kuagana na mgeni...
wafanyabiashara wadogo mkoani Arusha wakikataa kutoa ushuru baada ya kupewa vitambulisho vilivyotolewa na Rais Wafanyabiashara hao wamesema hawawezi kununua kitambulisho, bado waendelee kulipishwa ushuru, bora waende gerezani.
Kweli serikali inawaumiza wafanya biashara za chinga Jiwe zako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.