Waungwana
Naomba kujua bei ya kiwanja kinachotosha nyumba ya kawaida tu ya vyumba vitatu na kuwe na nafasi ya ka-garden na parking na kiwe maeneo ya hapo barabarani katika eneo hilo la kanisa katoliki na shule.
Natanguliza shukrani.
Waungwana..naomba kujua bei ya kiwanja cha kawaida cha kujenga nyumba ya kawaida ya vyumba vitatu eneo la bunju shule karibu na barabarani karibu na kabisa la roma hapo....natanguliza shukrani.
Pengine camera zitegwe usawa wa kona za uwanja hasa eneo la pitch,kwenye vibendera kuelekea golini nyuzi 90,inaweza kusaidia warefa wetu kujua kama ni goli ama vinginevyo maana sasa hata timu ikishinda maneno hayaishi.
mikia wanaulizana huko....kama makambo ni vile...huku je kuna makambo wangapi???.....poleni mikia maana hata komba anao
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana nimelipia kifurushi cha azam cha sh 23,000\= na channel zilifunguka vizuri..lakini leo asubuhi inaonesha kadi haiko sawa..nimewapigia kwa namba niliyoitoa kwenye screen wanasema nitoe kadi niifute kwa kitambaa laini lakini wapi...anayejua hii ni nini tupeane msaada tafadhari
Sent using...
Anayeujua huu utaratibu wa kufunga kitufe kwenye gari ili kukontroo ruti zote anisaidie kunielewesha vizuri.......faida na hasara zake......nataka niitumie sehemu
Mamlaka iliyofeli kwa kila kitu hapa Dodoma,tangu 1973-2014...,I mean kwa miaka 41 imejitanua na kupanga hicho kimji kwa miaka hiyo yote kwa kilometa za mraba 16 tu?,kama kitu kimefeli kifutwe na uangaliwe ustaarabu mwingine kwa ustawi wa huu mji.karibuni wana Dodoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.