Nilipoanza kusoma kichwa cha habari,nikakuona mwehu,lakini kumbe sherehe ilikuwa halali yako kufanya!unajua kuna kinadada ukikutana naye saluni tu matumizi yake hadi unajiuliza maswali,mara mtu kapitisha pochi sh 50000 nipe,mara kiatu laki yumo,mara pafyumu laki na nusu yumo,bili ya saluni...
Lakini miss Tz fulani alisema jamani tatizo kaIQ,unajua hata ukiwa na kipaji gani ukiwa na hako katatizo ka IQ utatumika sana,unless uajiri meneja alie vizuri kwenye hiyo sekta!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.