QUOTE=Mzizi wa Mbuyu;3583122]Mimi nikifikri zaidi na zaidi.......
Wala makala hii si sababu, sababu ni Ulimwengu. Siku hizi ameanza kurusha makombora ya hapa na pale kwa JK, mengine yanaonekana kama kumdharirisha kabisa kwa mfano hivi karibuni aliandika kuwa raisi wa sasa ni kama anaomba Mungu...
Mwakyembe leo ndio ilikuwa siku ya kuweka hadharani vile viporo vya Richmond. Na kesho unarudi tena India kwenye matibabu na hatujui kama utarudi salama halafu maadui zako ndio utakuwa umepa ushindi.
Na hiyo ndio itakuwa namna nzuri ya kuwafuta wote katika kona zote. baada ya hapo najua hata biashara nyingi zitaanguka maana wafanyabiashara wakubwa wote wapo kwenye mtandao huo ama kwa kulazimishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.