Search results

  1. Heart Wood.

    Ni biashara gani ambayo huelewi faida wanapata vipi?

    Navyojua mie JF ni NGO (non profit organisation). It's not a company. Kwahiyo ikiwa ni NGO, inajiendesha kwa pesa za Donors. Ikishakuwa NGO, haitakiwi kujiendesha kama kampuni ya kujipatia faida. Ndio maana huoni hata matangazo humu wakati wana uwezo wa kuweka matangazo makubwa na kutengeneza...
  2. Heart Wood.

    Wakili Mwita kaandika utaratibu wa kikatiba unaotakiwa kufuatwa pale Rais akiugua kimwili au kiakili

    Tukumbuke Mwafrika bado hajafanikiwa kuwa mtu wa kufuata utaratibu. Sisi bado tupo kwenye Primitive era.! Kwahiyo yote hayo yaliyoandikwa kuhusu huo utaratibu si rahisi kufuatwa na sisi Waafrika. Hayo mambo tuwaachie Wazungu. Japo na wao wanachangamoto zao.
  3. Heart Wood.

    FT: Tanzania 0-1 Bulgaria | Friendlies| 22 March 2024 16:00 Hours | Dalga Arena (Baku, Azerbaijan)

    Kumbuka kikosi cha sasa kina wachezaji wengi toka Simba na Yanga. Na mechi ijayo ya J3 si watakuwa wamerudi kwenye clubs zao kujiandaa na mechi za Club bingwa?
  4. Heart Wood.

    Visa na Mikasa katika Shule za Bweni

    Nilipokuwa A-level, nilifanikiwa kusoma katika shule mbili tofauti za Bweni. Vifuatavyo ni visa navyokumbuka i) Kama mjuavyo, utumiaji wa simu katika shule za Bweni ni mshikemshike. Sasa mie nilichokuwa nafanya, simu yangu nilikuwa nikichana godoro pembeni na kuizamisha kwa ndani. Ikifika...
  5. Heart Wood.

    Natabiri mechi ya leo kati ya Mancity na Liverpool kutakuwa na maamuzi mabaya kutoka kwa Refa VAR

    Sie wa kipato kidogo watumiaji wa king'amuzi cha Azam tunateseka sana. Mpaka uende kwenye kibanda umiza kwenye DSTV. Je, lini Tajiri yetu Bakhresa Mkombozi wa watu wa kipato cha chini atafanikiwa kuonesha league ya Uingereza kwenye King'amuzi cha Azam.? Naamini Tajiri Bakhresa akiamua jambo...
  6. Heart Wood.

    Katibu Mkuu UVCCM Taifa asema Ukosefu wa Ajira nchini unatokana na kazi nzuri ya CCM kuboresha Elimu nchini

    Nilimsikia jana kwenye hiyo Interview kupitia StartTV. Nikawa najisemea moyoni, isitoshe huyu ndungu akachaguliwa kuwa mbunge kisha Waziri na kuwa mshauri wa Rais kupitia Baraza la Mawaziri. Kwa viongozi wa sampuli hii, basi bado tunasafari ndefu sana kama Taifa. Kwanza hata nidhamu ya...
  7. Heart Wood.

    Nakubaliana na Mzee Mohamed Said, Historia ya Siasa za Tanzania iandikwe upya kwa yaliyotokea kwa Membe na Lowassa

    Kinachosemwa hapa ni historia za Marehemu, sio muda gani kawa chama gani. Kama tunashindwa kuvumilia mambo madogo tu yanayofahamika na dunia nzima na kutaka kuyaficha, vipi mambo ya sirini tusiyoyajua hao wahusika wanaweza kweli kuyanyoosha kama yanavyotakiwa? Haya matukio ni kipimo cha uafrika...
  8. Heart Wood.

    Ni balozi wa Nchi gani alifukuzwa Tanzania kwa sababu aliwajua waliomshambulia Lissu?

    Mbona watu wengine wanashindwa kufanya analysis ya vitu hata vidogo sana. Kwenye mahojiano mhojiwa huwa anajibu kulingana na maswali yanavyoulizwa. Kwahiyo Lissu hawezi kujipayukia tu ovyo kwa mambo ambayo hajaulizwa. Mbona hatusikii akizungumzia juzi alikula nini usiku? Hajataja chakula...
  9. Heart Wood.

    Ni balozi wa Nchi gani alifukuzwa Tanzania kwa sababu aliwajua waliomshambulia Lissu?

    Kweli wewe ni "much know " Lissu alikuwa anajibu maswali aliyokuwa akiulizwa. Sasa kama swali lilihusu shambulio lake atazungumziaje issues za umeme ambazo hajaulizwa?
  10. Heart Wood.

    CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

    Mabenki ya huku Africa ni wanyonyaji sana. Hebu tazama: 1) Kuhamisha fedha unakatwa 2) Kutazama salio unakatwa 3) Kupata statement unakatwa 4) Kutoa pesa unakatwa 5) Kufanya malipo unakatwa. Baada ya hapo utawasikia wanajivunia kwa kupata FAIDA kubwa iliyovunja rekodi kwa kuvuka malengo...
  11. Heart Wood.

    Kabla hatujaanza kuushangaa huu waraka mpya wa Papa Francis tujikumbushe waraka wa mwezi uliopita, kanisa katoliki linaelekea wapi ?

    Kanisa Katoliki ni Taasisi iliyojipambanua kwa kuzingatia Misingi yake ya asili. Hata hivyo, niwape pole sana Wakatoliki maana Dunia imehama mwelekeo na hakuna wakuizuia kwa hapa ilipofikia. Kanisa kuzuia hili wimbi la mabadiliko ya hii Dunia ni sawa na kuzuia maji kwa wavu wenye matobo. Ni...
  12. Heart Wood.

    Maisha Yako ya sasa ni Matokeo ya family background yako

    Afrika tunaishi Kiholela sana. Sisi bado tupo kwenye primitive way of living! Bado hatufahamu definition ya kuishi ni nini hasa. Kwahiyo pole sana Mkuu, kwamba upo hapa Afrika na lazima hali hii ikukumbe. Ni familia chache sana zinazoweza kujikomboa. Ila kadri ya siku zinavyosonga taratibu...
  13. Heart Wood.

    Bongo tutasubiri sana, kujikomboa bado sana, labda miaka 500 ijayo!

    Mfumo wetu wote wa utawala na utendaji unahitaji kufanyiwa overhaul reforms! Uwekezaji mkubwa ufanyike kwamza kwenye kubadilisha mindsets za watu. Hivi tulivyo sasa, tukiachwa hivihivi itatuchukua miaka 500 kujikomboa kwenye huu umaskini.
  14. Heart Wood.

    Bongo tutasubiri sana, kujikomboa bado sana, labda miaka 500 ijayo!

    Kila mtu anawaza upigaji tu, yaani vichwa vimejaa ni namna gani fursa ije ili mtu apige. Huko kwenye ofisi za umma pamejaa mi-ungu watu, kuanzia mfagizi hadi ma-boss! Badala ya kufanya kazi, watu wamejaa majungu, kuoneana wivu na kuchongeana. Watu wanafiki kupitiliza. Usoni wanakuchekea kumbe...
  15. Heart Wood.

    Je, ni kweli kuwa Serikali yetu imekosa kabisa ubunifu wa kuzuia ufujaji wa pesa za umma katika miradi ya kuboresha maisha ya watu maskini?

    Kwa bahati mbaya tunakutana hapa na anonymous ID na hivyo hatufahamiani. Kwahiyo hata nikikujibu inaweza isisaidie jambo maana hatujuani. Ukweli utakabia ndani ya moyo wangu. Pamoja na ukengeufu mkubwa wa Mwanadamu, nachoamini ni kuwa, bado inawezekana kuwa na watu wenye kujali misingi ya...
  16. Heart Wood.

    Je, ni kweli kuwa Serikali yetu imekosa kabisa ubunifu wa kuzuia ufujaji wa pesa za umma katika miradi ya kuboresha maisha ya watu maskini?

    Mkuu, Je unataka kumanisha kuwa haiwezekani kuwa na Jamii yenye watu Waadilifu? Kwamba sisi binadamu wa huku Afrika, hatuwezi kabisa kujitenga na makando kando kwenye pesa au kazi za Umma?
  17. Heart Wood.

    Je, ni kweli kuwa Serikali yetu imekosa kabisa ubunifu wa kuzuia ufujaji wa pesa za umma katika miradi ya kuboresha maisha ya watu maskini?

    Ukitembea tembea huko mitaani hasa vijijini, utawahurumia sana wananchi wenzetu wanavyoishi kwenye hali duni kabisa kimaisha. Naam, namaanisha uduni wa kukosa huduma za msingi kama vile barabara nzuri, maji safi na salama, elimu bora, matibabu bora, mawasiliano ya uhakika, huduma za nishati...
  18. Heart Wood.

    Jaji Francis Mutungi ailima barua CHADEMA, ataka ijieleze ndani ya siku 5

    Afrika itabakia kuwa bara giza na wasindikizaji kwa miaka mingi sana ijayo. Nchi maskini (Global South) ndio utakuta hizi Titles zinasujudiwa kama hivyo. Sasa kutajana kwa Titles zetu kuna impact gani kwenye maisha yetu haya duni kabisa? Mambo mengine ni aibu sana hata kuyaona, sikia na kusoma...
Back
Top Bottom