Ripoti kutoka Nigeria zinaarifu kuwa watu ishirini na wanane wamefariki baada ya bomba la mafuta kulipuka katika mji mkuu wa kibiashara wa Lagos.
Mlipuko huo ulitokea wakati watu wakichota mafuta baada ya bomba hilo kupasuka.
Vipande vya miili ya binadamu vilitapakaa kote kote baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.