Wenye akili timamu, wajua kuwa kuwa, hao wote ambao wameshindwa kuwajibika. Ni makada wa CCM, hivyo wenye akili timamu wanaona ubovu wa CCM. wajinga ndio waichagua CCM!
Kumbuka wapinzani watatumia hoja( matatizo) yanayoibuliwa na Makonda kuwaelimisha Watanzania kuwa CCM imeshindwa!! ogopa mtu anae Kaa kimiya wakati unapayuka!!
We boya hutamani kuwa na maisha mazuri!? kwann unaamka asubuhi na mapema na kuanza kuisaka chapaaa? Chapaaa ndio Kila kitu, Haba bible imesema Chapaaa huleta majibu ya mambo yote bhana.
Nani kakudanganya kuwa kuishi maisha ya kuna furaha!! wakati mkiwa ofisi mnatamani mtoke mapema mkapige mishe za mtaani!! basi rizikeni na mishahara yenu!!
Hii nchi kufanya kazi inayohitaji umeme ni kama vile Laana!! mi tenesco walinitoa barabarani kipindi natotoresha vifaranga!! ila Kwasasa niliamua kuanziasha kampuni ya uvuvi Sina shida na umeme wa mchongo.
Kama hoja yako ni wingi, basi umekosea!! Maana hata Yesu alisema " njia iendayo upotevuni ni pana, nao waiendao ni wengi.bali njia ya Uzima ni nyembamba! tena imetatana( imesomgwa songwa). Sasa hio yako Nina mashaka nayo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.