Siwezi kukupinga sana ila angalia soko maana kila shilingi inaweza anzisha biashra,let say umeanza na shilingi elfu tano,unataka anzisha biashara ya juice haiwezekani kwani inahitajika uwe friji sasa utainunua vp na kama ipo nyumbani huwezi kuwa huru kuitumia ipo siku mshua atagomba tu
Tegwa Investment ni watengenezaji wa sabuni za magadi(kigoma) za miche.
Sabuni hizi ni nzuri kwa kuogea na kufuria,tunauza kwa jumla.
Pia tunatoa mafunzo ya utengenezaji wa sabuni hizi.
MAWASILIANO;Piga sim no.0768292116 au business.tegwa@yahoo.com
Tupo Mwanza.
Habari za saa hiz wapendwa mimi nina modem aina ya HUAWEI E303h-1 Hi-link ya Airtel Tanzania nina tumia
PC-DEll
RAM-760MB
WINDOW-XP PROFFESSIONAL
kila napoipachika kwenye pc yangu inashinwa kufanya installation hivyo inashindwa kufanya kazi ila nikitumia pc nyingine inakubali je tatizo ni...
Chief-Mkwawa,
Samahani kaka natamani sana kuwa fundi wa simu upanude wa software nahitaji msaada wako kaka kwani nina pc tu hivyo nahitaji maelekezo yako
TEGWA Investment ni wafugaji na wauzaji wa kuku wa kienyeji,Tunauza kuku kuanzia kuku 10 na bei yetu ni Tz.10500 kwa kila kuku,
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0768292116 au 0753829505(whatsapp),Email:business.tegwa@yahoo.com au facebook page:tegwa investment.
Tupo Isamilo,Mwanza...
Ninatumia Sumsung galaxy S5 lakini nashindwa kuthibitisha kama ni copy au original.Siku moja nilifanya restarting simu ikafuta IMEI hivyo ikawa haina internet access je inasababishwa na nini?.
Msaada tafadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.