Search results

  1. T

    Tanzania katika mtanziko; Hakuna umeme, sukari wala dola. Serikali inachukua hatua gani?

    Tumeambiwa na Wabunge wawili Bungeni kwamba bwawa la Mtera halina maji kabisa na huku pembeni maji ni mengi mpaka kuvuka kingo! Hii ni hujuma kwa Rais na inatekelezwa na baadhi walio mzunguka! Ni matumaini yangu siku chache zijazo tutasikia kishindo cha hatua za kinidhamu zikichukuliwa dhidi ya...
  2. T

    Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

    Madhara mengi ni kutokana na mipango miji mibovu, na sioni suluhu kwasababu wahusika walio shindwa wwnajiandaa kwa uchaguzi mkuu hawataki wahudhi wote walio jenga ktk njia za maji na mabonde.
  3. T

    Unafiki wa Wabunge kufoka, kukemea na kujifanya wako siriasi kuisimamia Serikali

    Matatizo yetu tunayo shuhudia ni ukosefu wa Katiba Bora yenye Taasisi Imara na Bora na ukiongezea Tume Huru na Haki ya Uchaguzi. Wanunge hao uchwara huwezi sikia wanajadili jambo la msingi kama hilo na wengine wanao pendekeza adhabu ya kifo wakiwa wezi wa mali za umma na wezi wa kura! Vikelele...
  4. T

    Si sahihi kumpa maagizo Waziri Mkuu hadharani, si kila kiongozi anaweza kupewa maagizo hadharani

    Mimi nilishangaa au siku hizi hawafanyi vikao? Ni kichekesho kinacho sikitisha.... ndiyo hivyo Mama alitegemea Makonda mzima? Acha kuchezea damu ya watu,jamaa ndiyo kaisha Chisinau hivyo.
  5. T

    Makonda aiagiza Serikali impe Mbowe kibali cha kuruka na Helicopter na kama hana mafuta ameongea na Rais ili wamsaidie

    CCM ilichagua mtu wa kuja kuwatia aibu naye leo ametuonyesha namna gani tunatakiwa kuachana na chama kilicho choka kama CCM... moja ya ujinga wa msemaji ni kuingia ktk mkutano na boda bila helmet!!! Ni aibu kwa taifa kwamba huyo ni muhenezi wa chama tawala!!
  6. T

    Hatimaye TEC yapoteza imani katika jamii

    Huyu naye sijui anaandika ujinga gani huu
  7. T

    William Ruto: hatutawakabidhi Bandari yetu wageni! Bandari ni urithi

    Mawazo uchwara ambayo bahati mbaya eti ya natokea Kenya ambao kiasi wamepiga hatua ktk biashara, uchumi na na experience ya kutosha ktk uchumi wa kibepari.
  8. T

    William Ruto: hatutawakabidhi Bandari yetu wageni! Bandari ni urithi

    Haya maoni ni ukosefu wa exposure ya kutosha.... tengeneza Katiba bora na Taasisi imara za kusimamia taifa uone mabadiliko chanya ktk taifa badala ya kukaa kuogopa wawekezaji na wageni. Dunia imesonga mbele sana ndugu zangu tumeisha ondoka ktk uoga uoga uchwara kama huu.
  9. T

    Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

    Matusi kwa Watanzania na hasa wale walio poteza wapendwa wao,kujeruhiwa na kuporwa mali na kuflisiwa! Ni siku nyeusi leo.
  10. T

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha ("A" Town u Chuga)

    Mashindano yapi wakati jiji la Mwanza limebakia na slums kibao wakati Arusha wakihimarika kama jiji?
  11. T

    Wazazi wa Binti Nusura wasema kwamba Mtoto wao hakufia kwenye ajali ya Dugange

    Mambo ya aibu serikali na chama kuendelea kumlinda mtu binafsi kuchafua heshima na hadhi ya chama chake. Timua na ashitakiwe. Aibu nyingine ni Polisi wetu wanachuo na wahadhiri wake wapo lakini kwa sababu ya siasa wameamua kuitia aibu taasisi yetu. Tatu ni wanachuo wa UDOM waliokuwa wanasoma na...
  12. T

    Ezekiel Wenje: Magufuli asingekubali ufisadi huu wa awamu ya sita (Ripoti ya CAG)

    Alipenda uovu wake na wapendwa wake uwekwe wazi? Au hakuwa Tanzania wakati huyo dikiteta anatawala? Hata maendeleo kidogo tuliyokuwa tumepata ya litoweka kwa kuletewa ripoti za uongo za CAG angalau sasa tunaanza tena upya!
  13. T

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Mimi nitamkumbuka kwa utawala wake wa mabavu na kutofuata sheria ambao mwisho umeifanya CCM kutambua na kukubaliana na mchakato wa Katiba Mpya
  14. T

    Rais Samia ile Katiba pendekezwa ya Mzee Warioba si ipo? Kwahiyo tusiendelee nayo na tusipoteze Pesa katika Tume unayotaka Kuiunda?

    Mimi nataka kuzungumzia jambo moja la msingi tunalo takiwa kulibadilisha ktk Katiba Mpya ijayo nayo ni muundo wa utawala ktk serikali zetu za mitaa kuanzia ngazi ya Mkoa kushuka chini. Muhimu hizi serikali zichaguliwe na wananchi na zisimamie kazi zote ambazo sasa ziko chini ya wakuu wa...
  15. T

    Ndege ya Air Tanzania yashindwa kutua Bukoba, yageuza kwenda kutua Mwanza

    Jumanne iliyopita tulishindwa kutua Bukoba tukarejea Mwanza mpaka hali ya hewa ilipo tengemaa kiasi tukarudi na kutua. Kituko zaidi ilikuwa jana ambako tukiwa Airport tuliambiwa ndege ni mbovu kwa hiyo tutatumia usafiri wa Coaster mbili kwenda Mwanza. Baadhi ya abiria hasa wazungu waliamua...
  16. T

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mimi nahitaji majibu ya kitengo cha emergency ktk mkoa wa Mara kutokupokea simu pindi tunapo katikiwa na umeme tatizo ni nini? Wanacho hiki kitengo au kimetutwa?
  17. T

    Luhaga Mpina ndiye mbunge bora kwa sasa

    Tue Tueleze anamsaidiaje kama siyo ngebe ya kutemwa uwaziri na kuendeleza habari zao za uwongo kwa njia ya kum discredit mama Samia?
  18. T

    Katika hili, jiji la Mwanza halina budi kujifunza kwa Bunda

    Ya kujifunza siyo mengi sana kwasababu hata Bunda bado wana ugonjwa wa mipango mji. Kwa Mwanza kuanzia Mkuu wa Mkoa,Meya wa Mwanza na Madiwani wao watambue Idara za Ardhi,Mipango Mji na Mazingira hawana lolote wanafanya ktk Jiji la Mwanza. Ujenzi holela,vibarabara vyembamba na biashsra zinazo...
Back
Top Bottom