wadau habari za majukumu naombeni mnisaidie kujua kisheria mtu anapofukuzwa kazi kutokana na kosa la kuajiriwa na mtu au kampuni nyingine wakati nimesimamishwa kazi na muajiri wangu wa zamani ila nikiwa napokea nusu mshahara toka kwa muajiri huyo wa zamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.