Habibu Halahala
mwandishi wa Rais Nyerere na baadae Mzee Mwinyi.
alikufa kwa kukatwa na upanga wa Helkopta wakati akiwa kwenye ziara ya Rais Mwinyi mikoa ya kusini.
Rais Mwinyi alilazimika kukatisha ziara yake.
Maarifa yako madogo sana.
Miongoni mwa majanga makubwa ya nchi hii ni kupata watu wenye maarifa madogo na uwezo duni wa kufikiri,nadhani hii inatokana na lishe na elimu duni.
Swali hili hili aliwahi kuuliza firauni kumuuliza Nabii Musa
Qur an:Surat Taha 20:51-52
(20:51) Pharaoh asked: "Then, what is the state of the former generations?"24
24. The question posed by Pharaoh was very subtle. He meant to say: If there is no other lord than the One Who has given a...
alafu hiyo kweli kabisa mwanzo nafika hapa Dodoma mwaka 2017 nilikuwa nashangaa sana jinsi wanavyoelekeza mtu utaskia "...Nenda na hii barabara mbele kidogo angalia upande wa Mashariki utaiona hiyo ofisi..."
kuna jamaa yangu mmoja aliagiza na hao hao Real Motors wa Tz,aliagiza gari aina ya mitsubishi Outlander 22M wakamtapeli badala yake wakamletea fun cargo.
kumbe walitapeliwa wengi wenzake wote walikuwa 8 hawakupata kabisa magari ni bora hata yeye aliletewa hiyo Funcargo.
wateja wote 8...
Inaelezwa kuwa mwaka 1985 wakati wa kumtafuta mrithi wa Mwalimu.
Inasemekena Mwalimu Nyerere alikuwa akimtaka sana Dr.salim ila Mwalimu aliogopa fitna za makundi hasimu ya wanamstari(Frontliners) na wale wagombozi (Liberators) hii ilipelekea Mwalimu Nyerere kusuka njama.
Mwalimu Nyerere...
Urais wa Bara mwaka 1985 kumrithi Mwalimu
Halmashauri kuu iliweka vigezo 13 ili kumpata mrithi wa Mwalimu.
Wagombea walikuwa 3
1.Ally Hassan Mwinyi(Rais wa SMZ)
2.Rashid Mfaume Kawawa
3.Dr Salim Ahmed Salim
Mzee kawawa alijitoa mwanzoni kabisa na akasema jina lake lisijadiliwe ana akajenga...
Wakati wa kumtafuta mrithi wa Rais Aboud Jumbe mwaka 1984 kulikuwa na makundi mawili mahasimu.
Kundi la kwanza wakijiita Frontliners(Wanamstari) hili lilikuwa kundi la vijana wa wakati huo linalotaka mabadiliko na nafasi ya Uongozi kushikwa na vijana kundi hili likijumuisha vijana wa wakati huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.