Hahahahaha ..kiukweli katk wanaume wa Dar we ni the Stupidest.
Fanya hivi Tafuta Mwanamke mwingine alaf utoke nae kisha uje umhadithie kwamba alikuwa first love wako na wewe ukashindwa kujizuia ...uoñe kama yeye hatakuacha..
Hahahahah nimecheka sana nilipoona ile video, kisha nikajiuliza swali hili hili kwanini ajirecord?, yaani kumbe Gwajima nae ni mjinga mjinga tu vile , kwasababu inaomekana ni yeye mwenyewe kajirecord.
sasa najiuliza ni nani kaivujisha, je nihuyo dem, yeye mwenyewe? ama wataalam wanaomchukia...
Kwahiyo kipindi chote hicho miaka 10 umeambukiza wangapi?
Inamaana watu wote unaokutana nao mnarukianaga tu bila kupima?
Are you married? inamaana hakuna hata mwanaume mmoja aliyewahi kukwambia mkapime? kipindi chote hicho?
Something doesn't add up , Ah-Ah you're lying, thread yako haina mantik...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.