Nimekuw nikifwatilia mjadala unaoendelea kati ya vilabu vya ligi kuu vikiongozwa na Geofrey Nyange Kaburu na TFF ambapo vilabu vinataka ligi kuu uendeshwe na kampuni kama FIFA wanavyotaka na kama inavyofanyika katika nchi za Kenya, Uganda, na Ulaya lakini TFF hawataki kwa kuhofia kupoteza Mapato...
Hii nieiona kwenye Face Book page ya rafiki yangu wa kwenye face book
Kweli wazee huona mbali, Hongereni wazee wa CHDM, Zitto angekuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii CHDM kingekuwa wapi? tujadili
Login | Facebook
SERIKALI mpya ya Rais Jakaya Kikwete iliyoanza kazi rasmi baada ya kuapishwa jana, ipo katika majaribu kutokana na mawaziri wake 17 kufunguliwa kesi mahakamani kupinga matokeo yaliyowapa ushindi kwenye nafasi za ubunge.Jana Rais Kikwete aliwaapisha mawaziri wake wapya 50, Ikulu, jijini Dar es...
Tathmini yangu fupi ya mwenendo wa uchaguzi inaonesha kuwa kila sehemu ambayo Chadema iliweka mgombea makini, msomi, Kijana na mpiganaji wa ukweli katika Ngazi za Ubunge na Udiwani Chadema iliongoza kwa kura.
Dr Slaa alipata kura kiduchu sana maeneo ambayo chadema iliweka mgombea dhaifu ngazi...
Uzoefu na uchungu nilioupata kupitia uchaguzi huu umenifanya niamue kuingia kilingeni, labda upinzani unakosa maandalizi majimboni, unakosa wagombea wenye uwezo na unakosa mkakati wa kisayansi kushinda
Tumeiacha kazi ya kupigania taifa hili kwa akina Tundu lisu, well tumechangia mawazo, muda...
Wabunge Viti Maalumu hawa
CCM 65, CHADEMA 23 NA CUF 8
Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA ambao majina yao yamepitishwa na mikoa wanayotoka kwenye mabano ni pamoja na Lucy Owenya (Kilimanjaro), Esther Matiko (Mara) Mhonga Luhanywa (Kigoma), Anna Mallac (Katavi), Paulina Gekul...
Amakweli Yanga imechagua wahuni kuongoza, Yanga ya sasa imevamia na wahuni ambao wanaharibu jina zuri la klabu yetu, Jana nilijivinjari uwanja wa Mkwakwani Tanga, nilishuhudia timu yangu ya Yanga ikitoka sare na Azam FC.
Baada ya Mchezo kuisha Davis Mosha alienda upande ambao Azam FC...
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) in Mpanda District, Katavi Region, has suspended indefinitely five of its members from the party for allegedly campaigning for an opposition aspirant.
The suspended members include Abraham Kombe and Francis Nandi who were eyeing the parliamentary and councillorship...
HABARI ZAIDI
Slaa kukutana na mume wa Josephine
Vurugu zatia dosari kampeni
KIkwete: CCM imeshashinda
Ngeleja: Haiwezekani kutoa elimu bure
Mengi: Wahojiwe niliowatuhumu
HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania
Katika pitapita zangu mtandaoni nimebahatika kukutana na tovuti ya CCM, duh jamaaa hawapo up-to date kabisaaaa yaani hadi leo kawawa yumo kama mjumbe wa CC. kwa hali hii tutafika kweli?
1. Jakaya Mrisho Kikwete (Mwenyekiti)
2. Pius Msekwa (Makamu Mwenyekiti Bara)
3.Amani Abeid Karume (Makamu...
ZOMEA zomea kwenye mikutano ya kampeni ya CCM jana ilimgeukia mpigadebe aliyejaribu kuingiza masuala ya maisha binafsi ili kumponda mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Willibrod Slaa baada ya wananchi kumzomea mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama tawala, Benno Malisa.
Zomeazomea hiyo...
Anadai pia kuwa hakujua kuwa Josephine ameolewa ama aliwahi kuolewa na hata pia Josephine hakuwahi kumweleza kuwa ni mke wa mtu.
Dk. Slaa anaiomba Mahakama iitupe kesi hiyo kwani haina msingi wowote kwa sababu mdai mwenyewe alijidhalilisha kwa kukubali kutumiwa na chama cha siasa...
Maamuzi mabovu ya mwamuzi Mathew Akrama yamepelekea timu ya Azam FC kupoteza mchezo wake wa pili dhidi ya Simba SC kwa kuruhusu kufungwa 2-1 katika mchezo uliochezwa uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Katika mchezo huo mwamuzi huyo aliweza kutoa maamuzi ya upendeleo wa wazi kwa kikosi cha Simba...
Kwa mpendwa Mama Maria (Mama wa Taifa ), Natumaini yubuheri wa afya hasa baada ya kukuona amemsindikiza mgombea uraisi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) chama alichokiasisi na kukiongoza marehemu baba wa taifa (Mumewe) kwa uadillifu mkubwa na usio kifani, alisimamia na kujali rasilimali...
Gazeti la habari Leo limekuwa kama la Udaku kwa kuweka vichwa vya habari vinavyojaribu kumchafua Dr Slaa lakini nadhani nao wanataka kukataliwa na kuonekana Vipeperushi kama RAI, Mtanzania, na Changamoto
Yaani Habari leo wanadhani wao ni UHURU la Chama, Hakika wanatia Aibu sana
Jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.