Search results

  1. DIDAS TUMAINI

    Je, ni sheria kila mkazi wa Dar kulipa hela ya taka?

    Wakuu salamu, Naomba kujuzwa, hivi ni sheria kuwa kila mkazi wa dar kulipa hela ya taka kwenye eneo lake la biashara hata kama biashara yako haizalishi taka? Kumekuwa na tendency ya wakusanya taka kutoza hela kwa kila mwananchi hata kama kwa mwezi huo hawakuzoa taka kwenye eneo lake. Je, ni...
  2. DIDAS TUMAINI

    LIVE Moscow, Urusi: Shambulio la kigaidi laua Watu zaidi ya 130

    Watu wasiopungua 40 wanahofiwa kufariki dunia kufuatia shambulio la bunduki kweye ukumbi mmoja karibu na Moscow, vyombo vya habari vya Urusi vimeripoti. Watu wasiopungua wanne waliovalia nguo za kijeshi wamefyatua risasi kwenye ukumbi wa Crocus City uliopo Krasnogorsk. BBC imethibitisha video...
  3. DIDAS TUMAINI

    Wakatoliki mnakwama wapi kwenye media?

    Radio maria inatosha
  4. DIDAS TUMAINI

    Je, wajua hili kuhusu kumbukumbu ya kifo cha Rais Mwinyi?

    JE WAJUA? Rais mwinyi amefariki 29/02. Hii tarehe mpaka kuja kuipata tena ni hadi miaka minne ijao yaani mwaka 2028, 2032, 2036, 2040, nakuendelea... Kwa maana hiyo kumbukumbu ya kifo chake itakuwa ikiadhimishwa kila baada ya miaka minne. 🙌🙌 R.IP Rais Mwinyi
  5. DIDAS TUMAINI

    Atapata PhD akiwa na miaka 102

    Mhitimu wa miaka 95 ,David Marjot, kutoka Weybridge, Surrey Uingereza, sasa anatafakari kuisaka PhD, ambayo itamweka chuoni hadi atakapofikisha miaka 102 baada ya kufamikiwa kuhitimu shahada ya uzamili (MA) katika Chuo Kikuu cha Kingston. David ni Daktari mstaafu wa magonjwa ya akili, na...
  6. DIDAS TUMAINI

    Mfahamu Jenny Joseph, Star wa logo ya Kampuni ya Filamu ya Columbia Pictures

    Mrembo kwenye hiyo logo anaitwa Jenny Joseph (28). Mnamo 1992, Kampuni ya "Columbia Pictures" iliamua kubadilisha tena nembo (logo) yake kutoka ile ya awali. Ikumbukwe kuwa hapo awali kulishakuwa na logo nyingi zilizotumika. Safari hii walitaka kuwa na logo ya kisasa na yenye kubeba historia ya...
  7. DIDAS TUMAINI

    Ijue Asili ya jina Taifa Stars

    Majira ya saa mbili usiku wa leo, timu yetu ya taifa, Taifa Stars, itakuwa na kibarua dhidi ya Morocco kwenye AFCON. Wakati tunaisubiri mechi hiyo muhimu, si vibaya tukafahamu asili ya jina la TAIFA STARS. Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Paul West Guivaha, ndiye aliyetunga jina la timu...
  8. DIDAS TUMAINI

    Ipi ni tofauti ya mwili, nafsi na roho?

    Naomba kujua utofauti na uhusiano wa Mwili, Nafsi na Roho. Vipo wapi na vinatendaje kazi katika mwili wa mwanadamu. Nawasilisha.
  9. DIDAS TUMAINI

    Utata Sakata la Beatrice Minja, Mtuhumiwa naye afariki dunia

    Kaka kwann hujampa credit malisa kwa andiko lake hilo?
  10. DIDAS TUMAINI

    Mwanariadha wa zamani wa Olimpiki Oscar Pistorius aachiliwa huru

    Mwanariadha wa zamani wa Olimpiki Oscar Pistorius ameachiliwa kwa msamaha kutoka jela nchini Afrika Kusini, baada ya kuwa kifungoni kwa takriban miaka 11 baada ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Pistorius alihukumiwa kwenda jela baada ya kumpiga risasi nyingi mpenzi wake kupitia mlango wa...
  11. DIDAS TUMAINI

    Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

    Kama kweli mmeachana, Naomba mawasiliano yako PM
  12. DIDAS TUMAINI

    Historia: Upasuaji wa Kwanza wa Moyo wafanyika Duniani

    SIKU KAMA YA LEO Mwaka 1967 kwa mara ya Kwanza Daktari Christiaan Barnard kutoka nchini Afrika Kusini aliandika historia ya Kuhamisha Moyo wa Binadamu kwenda kwa mwingine (human to human heart transplant) hii ilikuwa haijawahi tokea duniani. Tukio hili lilifanyika Mjini Cape Town katika...
  13. DIDAS TUMAINI

    Siku kama ya Leo mwaka 1804 huko Ufaransa bwana Napoleon Bonaparte alijivika Taji kama Kaisari wa Ufaransa

    Siku kama ya Leo mwaka 1804 huko Ufaransa bwana Napoleon Bonaparte alijivika Taji kama Kaisari wa Ufaransa. Mwaka uliofuata akapewa pia Taji la Mfalme wa Italia. Vita ya Mapinduzi yake dhidi ya familia ya Kifalme, Huhesabika kama moja ya matukio 10 makuu ya Kihistoria Ulaya. Mwaka 1805...
  14. DIDAS TUMAINI

    Je, kuna uhusiano kati ya tairi za ndege na injini?

    Magurudumu (Tairi) za ndege hazina kiunganisho wala husiano na injini za ndege iwe Pangaboi au Jeti. Gurudumu huzunguka huru kama toroli au au kiti cha kusukuma "wheel chair" isipokuwa tu zimefungwa mifumo ya breki, mifumo wa kona na mifumo ya 'hydraulic' ya kuvuta tairi ndani au kutoa nje kwa...
Back
Top Bottom