Mona sisi hatukelwi na sms za chadema tena mbaya zaidi zimeingia mpaka kwenye dini. Mtu mzima unadiriki kubadili sala na kuweka mambo ya kishenzi mtenda akitendewa!!!!!!!!!:doh:
hizo pumba zenu mtu mzima anajiamini huyo na ndo maana obama akamwita ili waongee mustakbali wa nchi yetu na watu wake wasiokuwa na uwelewa wa kuchambua mambo
ni kama mimi na kombati za chadema sizipendi ata kidogo utafikili wanamgambo wanaenda vitani. ccm juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Kubali msikubali kikwete yuko juu na anasela sio kama slaa akisimama jukwaani yeye n kuongelea majina ya watu na matusi na kshfa tunahitaji sera na si hayo.kikwete kafanya mengi japo mnamacho hamuoni huwzi kulinganisha miaka ya nyuma na sasa
kila siku mnazungumza mafisadi hamna kitu kingine? mbona kila mtu ni fisadi kwa nafasi yake! tena katika mafisadi chadema ni namba moja wanawadanganya wanachama wake kuwa chama ni masikini na hali wao viongozi wakubwa wanatembea kwa magari ya kifahali na helkopta vijijini ata usafili wa gari kwa...
tatizo mashabiki wachedema wote ni wagonjwa wa akili hamuwezi kushindana kwa hoja mpaka mtoe matusi. Wachanga wa siasa hamna jipya jifunzeni kujibu kwa nguvu za hoja na sio kutumia hoja za nguvu
BADO TANZANIA HAKUNA UPINZANI KWANI WAGOMBEA KARIBU WOTE WA UPINZANI HAWAJUI SIASA WAMEKALILI SIASA NI MATUSI. BADO SANA KWA TZ KUTAWALIWA NA CHAMA KINGINE MPAKA WAJIFUNZE SIASA KUTOKA KWA NCHI ZINGINE. C.C.M BADO JUU JK ZAIDI:playball:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.