Ndivyo clip na kwa hakika habari zilivyo mitandaoni. Imefikia hatua Spika anadai baadhi ya viongozi wa serikali (tena wadogo) wanamdanganya rais.
Kwangu mimi naona kuna kutoheshimiana. Hivi hata kama rais amedanganywa unaanzaje kuja hadharani?
Hiki cha kwangu ni full package mkuu, na ushamba wangu ni kwamba niko ziarani kwa sasa. Baadhi ya hotel au guest house wamemdu kulipia kile cha 19,000/-. Usiteseke na ushamba wangu, teseka na kunisaidia hotel nilizouliza. Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za siku nyingi humu ndani. Niko safarini kutembelea ndugu, jamaa na marafiki. Nina king'amuzi cha DSTV full package na natembea nacho. Ninachohitaji ni kujua Hotel au Guest house nzuri inayotumia mfumo huu.
Nikifika natoa cha kwao naweka hiki ninachosafiri nacho. Leo nimelala makambako...
Umenisoma vizuri tangu nilipoanza kukuuliza mkuu? Pitia vizuri post zangu. Kwa kweli hali kama ni hii ninayoiona kwako kama Taifa tuna hali mbaya sana. Ujumbe wa Baba Askofu uko wazi sana.
Ujumbe umeshatumwa kwenye jumuiya ya kimataifa. Jambo ambalo sina mashaka nalo ni kwamba Vatican ilijua hili mapema. Muda ni mwalimu mzuri hivyo usibanduke hapa
Rai yangu Serikali kutaneni na Viongozi wa Dini zetu. Zungumzeni vizuri huku mkitambua wajibu mkubwa sana mlionao kwenye jamii. Watendeeni haki watanzania ili tuendelee kuishi kwa Amani na Utulivu. Majibizano na mtifuano kwenye vyombo vya habari au mitandao ya kijamii hayana mshindi bali ni...
Hapa ni mahali walipo GT, jitahidini kuandika kwa ufasaha. Ukishindwa hata hiki kiswahili chetu tuandikie hata kilugha chenu ili kulinda heshima ya jukwaa. Mara mbili katika kichwa cha habari amekosea. Mtu huyu si makini katika uandishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.