Habari ndugu zangu,
Nakumbuka kipindi cha mwendazake,awamu ya kwanza kulikuwa na msanii aliyejulikana kama Mzalendo aliyeimba wimbo wa Nasogea Golgotta.
Nilitegemea wasanii wasimame kutetea rasilimali za taifa na hasa katika sakata linaloendelea la Mkataba katia ya DP world na Tz kuhusu...
Mkuu hongeea sana kwa kuanzisha huu uzi.Naamini una imani na hofu ya Mungu juu yako.Ni wengi sana tunamwibia sana Mwenyezi Mungu kwa kushinda kumtolea zaka kamili.Na katika sehemu ambayo Mwenyezi Mungu kaahidi kutenda/kujibu kwa wakati maombi yetu mbalimbali basi ni kupitia zaka.Nina ushuhuda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.