kuwalinganisha ni kumkashifu na kumdharau Baba wa taifa. kitu kimoja tu - busara na uwezo wa kusoma alama za nyakati. hawa wawili ni sawa na mbinngu na nchi.
bado tuna safari ndefu. hasa ukijua kuwa chama ni kilekile hakiwezi kuwa na jipya. tunavyokwenda ni sawa na mtu ageukie kulia,kushoto, nyuma na mbele, lakini mtu ni yuleyule. ila sisi tunaona ndiyo mabadiliko
Inabidi lazima aisamakame serkali ya JK & BM. Bila ya kufanya hivyo hakuna mazuri ya kuyapigia debe kutoka serikali hizo mbili. Ndiyo maaana anazungumza mambo ya barabara tu ambayo alikuwa mhusika. Mengine hakuna. JK analijua hilo ndiyo maana anakubali akosolewe ndiyo njia pekee kwa JP kupata...
Mmeishi nao ndani ya thithiem miaka nenda rudi bila kuhoji utajiri wao. Mwezi mmoja tu kahamia upinzani mnatokwa na povu. Hii inaonyesha wote ambao ni matajiri na bado wako cvm, utajiri wao ni wa shaka na tutajua tu wakihama chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.