Wakati gazeti la raia mwema limedakua habari kwamba lipumba ajivua wadhifa wa kuwa mwenyekiti wa cuf, katibu mkuu wa cuf maalim seif alikanusha katakata kwamba ni uvumi usiokuwa na tija kwa madai kwamba usiku wa jana yake aliongea nae sana na hakukuwa na kitu kama hicho na baadae lipumba...
Mr. Ngaraumu unaposema porojo na huku hujafanya utafiti kujua ukweli unanipa mashaka. Ukisema lishakuwa gazeti la udaku hayo ni maoni yako lakini ujue kwenye udaku huwa kuna ukweli saa nyingine.
Mabadiliko ya kweli ni magufuli. Tatizo letu watz ni mihemko tu. Sina shida na mabadiliko lakini ni mabadiliko yepi na nani anayeyaleta sio ili mradi mabadiliko. Tuhuma kama hizi si za kupuuzia hata kidogo eti kisa mabadiliko. Ivi tunawezaje kufunika tuhuma za kifisadi zilizofanywa na lowassa...
Jamani kuna uvumi ulioenea kwenye mitandao kuwa Lowasa akija Ukawa anapewa nafasi ya kugombea uraisi kupitia muungano huo. Sasa najiuliza, hivi Ukawa wamejiandaa kweli kushika dola ikitokea wameshika? Maana kama wanategemea kukodi mtu kutoka ccm ndo aje apeperushe bendera manake Ukawa hawana...
Tuseme ukweli tu Lowassa kala nini kwenye Richmond si aliwajibika kama akina Mh.Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi alivyowajibika enzi hizo akiwa Waziri wa mambo ya ndani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.