Search results

  1. A

    Jamii ikichachoshwa na ubabaichaji wa viongozi huwa hivi

    BONYEZA VIDIO swahilivilla: Heartstopping moment would-be assassin aims gun at Bulgarian opposition leader's head and pulls the trigger... but victim survives after weapon misfires
  2. A

    Jamii ikichachoshwa na ubabaichaji wa viongozi huwa hivi

    Sunday, January 20, 2013Heartstopping moment would-be assassin aims gun at Bulgarian opposition leader's head and pulls the trigger... but victim survives after weapon misfires By RICHARD HARTLEY-PARKINSON A Bulgarian politician today survived an extraordinary assassination attempt when a man...
  3. A

    Jeshi la Polisi linahitaji mapinduzi makubwa

    &title=Jeshi%20la%20Polisi%20linahitaji%20mapinduzi%20makubwa"]&title=Jeshi%20la%20Polisi%20linahitaji%20mapinduzi%20makubwa"]&title=Jeshi%20la%20Polisi%20linahitaji%20mapinduzi%20makubwa"]&title=Jeshi%20la%20Polisi%20linahitaji%20mapinduzi%20makubwa"] SharebookmarkPrintEmail Email this article...
  4. A

    Lissu: Hakuna sababu ya baadhi ya watu/vigogo kuwa juu ya sheria

    Saturday, January 12, 2013 MCHAKATO wa ukusanyaji wa maoni ya wananchi yatakayosaidia katika uundwaji wa Katiba Mpya unaendelea na safari hii ni zamu ya makundi maalumu vikiwemo vyama vya siasa ambavyo vimeanza kutoa maoni yao mbele ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Mikutano hiyo kati ya...
  5. A

    Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

    Nionavyo mimi kufa kwa chama nikukosa wanachama na chama kukataliwa na wananchi, jee ichara hizi nani mwenye nazo kati ya chadema na ccm?. Realty nikuwa ccm ndio iko coma na sio leo hupata unafuu kwa kuokolewa na Zec na Vyombo vya Dola bila ya kutumia kilinge hicho tungrkuwa tayari tumesha...
  6. A

    Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

    ccm yadai Chadema itakufa 2015 Kwamaelezo Zaidi bonyeza block chini CCM sasa yadai Chadema itakufa 2015 - Habari - mwananchi.co.tz
  7. A

    Tume ya Mabadiliko ya Katiba usiri wa nini?

    Wednesday, January 9, 2013 Juzi Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilianza rasmi kupokea maoni ya makundi maalum kwa ajili ya mchakato wa kuandikwa kwa katiba mpya ya Tanzania. Tume hiyo inayoongozwa na Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, ilianza kukusanya maoni ya vyama vya siasa vya...
  8. A

    Sera za muungano za chama cha CHADEMA hizi hapa

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama cha Wananchi (CUF) vimewasilisha maoni kwa tume ya Mabadiliko ya Katiba vikitaka madaraka ya Rais yadhibitiwe pamoja na kutaka Muungano wa serikali tatu. MAPENDEKEZO YA CHADEMA Chadema jana kiliwasilisha mapendekezo kadhaa kwa Tume ya...
  9. A

    Mapato yapanda katika bandari ya Dar es Salaam kufuatia kusimamishwa kwa muda

    Tuesday, January 8, 2013 Na Deodatus Balile, Dar es Salaam Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imeongeza ukusanyaji wa mapato katika bandari ya Dar es Salaam kutoka shilingi bilioni 28 mwezi Novemba hadi shilingi bilioni 50 (dola milioni 18 hadi dola milioni 31) katika mwezi wa Disemba...
  10. A

    Eneo la Bandari ya Zanzibar Akabidhiwa Bakhresa

    Written by Ashakh (Kiongozi) // 07/01/2013 // Habari // 3 Comments Said Bakhresa na Rais wa Zanzibar Dr Shein Eneo la bandari ya Malindi alilokabidhiwa Bakhresa Kitambo kulikuwa na taarifa za kuendeleza eneo la bandari ya malindi hasa lile eneo la boti ndogo ziendazo kwa kasi...
  11. A

    Wakaazi wa Eastleigh wadai kuhangaishwa na polisi

    Vita dhidi ya ugaidi sasa vimegeuzwa na kuwa kitega uchumi kwa baadhi ya maafisa wa polisi. Wakaazi wa mtaa wa Eastleigh wanadai kwamba wanapokamatwa katika misako ya polisi wao hulazimika kutoa hongo ili kuachiliwa. Mwanahabari wetu Mustafa Mwalimu ana maelezo zaidi. swahilivilla: Wakaazi wa...
  12. A

    Wazanzibar wanufaika na Serekali yao ya SUK

    ZanziNews : Mahafali ya 12 Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Chukwani Zanzibar.UKWANI g
  13. A

    Jaji Warioba ambeba JK

    na Mwandishi wetu MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ametoa ufafanuzi kuhusu hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa usiku wa mwaka mpya na kuzungumzia mchakato wa katiba unaoendelea, na kusema rais hapaswi kulalamikiwa kwani yote aliyosema yamo ndani ya...
  14. A

    Zitto aivua nguo serikali maandamano ya Gesi Mtwara | Dar inachangia 80% ya pato la Taifa!

    Friday, January 4, 2013 ASEMA KAULI ZA WAZIRI MUHONGO NI HATARI NAIBU Katibu Mkuu wa Chadena, Kabwe Zitto, na wenyeviti wa vyama vya CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, na James Mbatia wa NCCR-Mageuzi, wameishukia serikali wakisema inaweweseka kutokana na kauli ya Waziri wa Nishati na Madini...
  15. A

    Mtatiro amkubali Slaa

    NAIBU Katibu Mkuu wa Cuf Mtatiro Julius na Betty Kangonga NAIBU Katibu Mkuu (Bara) wa Chama cha Wananchi (CUF), Mtatiro Julius, amesema kuwa chama hicho kikifanikiwa kushika dola kitahakikisha kinashirikiana na watu safi akiwemo Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
  16. A

    The Zanzibar Riots, the Union, and Religious Tolerance

    Posted on June 10, 2012 by zanzibariyetu Nobody in his right mind would condone the torching of churches and shops in Zanzibar last weekend. But it is a great shame that so many, including some of the top leaders in the country have made these symptoms of a socio-political malaise in the...
  17. A

    Tutenganishe shughuli za serikali na CCM

    Muhariri wetu wa Zanzibar Salim Said Salim MUDA mrefu sasa pamesikika malalamiko mengi juu ya watumishi wa umma kuona wanawajibika zaidi kwa chama tawala cha CCM . Watu hawa wanaonekana kusahau au kudharau kuwa wanawajibika ili kuwatumikia wananchi wote kwa misingi ya usawa kwani...
  18. A

    Extremism is on the rise in Zanzibar - Financial Times

    Written by chucky // 30/12/2012 // Habari // 3 Comments By Katrina Manson in Stone Town Under the peach arches of Al-Noor charitable agency for the needy just outside Stone Town in Zanzibar, a 24-hour Islamic radio station broadcasts religious guidance. Female tourists should wear...
  19. A

    Video- manyanyaso ya polisi kwa wanakijiji wa kendwa 2

    Monyeza vidioWritten by Zanzibar Moja // 29/12/2012 // Habari, Vidio // No comments Related Posts
  20. A

    Badhi Ya Viongozi Zanzibar Wameamuwa kutojishabihisha Na Uisilamu

    Written by Amour -?29/12/2012 Nimeliona hili nikahisi niliweke hapa Kinaga ubaga ,kama utafatilia hali halisi ilivyo Hapa kwetu Unguja na pemba ,Utagunduwa Baadhi ya Viongozi wetu wanavyojiweka mbali na Uisilamu kwa kuhofia nafasi zao walizopewa ,kwa mfano sasa imekuwa ni jambo la kawaida...
Back
Top Bottom