Mungai baba mkenya, mama mnyalukolo, baba yake alihamishiwa mafinga kwenye mashamba ya chai ya brook bond mufindi miaka ya 1930 mwanzoni, kutokana na sheria si mkenya ila ana asili ya kenya
Pasco, sisi tunaishi tanzania, na ni watanzania, na tanzania ilizaliwa tar 26 apri, na ndio national day yetu, fuatilia, 9 dec ni siku ya uhuru wa tanganyika ambayo haipo na nyerere alilikataa hilo jina kwa kuwa tulipewa na wajerumani
Tazara ilianza kudorola mwaka 1994, baada ya biashara ya shaba kupungua sana, na nchi ya zambia kujitoa kuagiza mahitaji muhimu ya nchi, kwa kiwango kikubwa TAZARA ikapoteza muelekeo, kwa kuwa ilikuwa ina safirisha 70% ya import and export ya Zambia, la pili haikujiandaa kwa ajili ya kusafirisha...
Ile ni biashara, wazazi wanaomba kwa uongozi kwa ajili ya watoto wao, na pia wanalipia, ila kuna wakati timu zinajitolea watoto wenye mahitaji kuwasaidia na kisha kuwapa nafasi hizo
Ukishaapa tu bungeni, tafsiri rahisi ni kuwa unaitambua serikali, na matokeo yaliyofutwa ni ya zanzibar si ya jamuhuri ya muungano, na zanzibar sio nchi ni sehemu ya jmt kama arusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.