Habari
Kwa mmiliki wa suzuki carry, nahitaji kukodi kwa malipo ya mwezi au uniuzie kwa malipo ya kila mwezi..
Tutaandikishiana na dhamana zipo.
Kama unayo unaweza kunichek DM tukaelewana.
Naishi Kigamboni, Dar es salaam
Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana na hao jamaa wa AHJ nikaona offer zao sio mbaya sana, sasa wadau wa kuagiza magari, naomba 123 kuhusu huu mtandao.
Water pump Leo =300k
Printer canon na Hp=200k
Canon: inahitaji toner
Hp: printhead imekufa
Samsung note 9=400k
Washing machine( von hotpoint 10kg) = 50k
Washing machine: upande wa ku spin haufany kazi
Bati alaf la kigae gage 28 zipo 15pcs= 800k
Mazungumzo yapo..
Kandolo = viazi vitamu = manumbu
Hiyo ni kauli ilitolewa na waziri mmoja uko Zambia pale ambapo wananchi walilalamikia mkate kupanda bei.
Wananchi hawasahau, na nimeona wengi wameiweka status baada ya boss wake Lungu kupigwa chini.
Tujifunze. Mla ndizi husahau, mtupa maganda hasahau.
=====...
Kuna watu wawili wamekuja kutoa pesa kwangu 'wakala' .. wa kwanza katoa 450,000 na wa pili katoa 500,000 Wote hawa namba yao ni moja 252659 234042 lakini majina ni tofauti. Mmoja jina lilikuwa 'Daniel Michael' na wa pili jina lilikuwa ' Jonh Joseph'.
Wakati wa kutoa waliomba namba ya wakala na...
Habari,
Natoa huduma ya matengenezo ya computer (desktop na laptop) na malipo utatoa baada ya computer yako kufanya kazi.
Kama kuna kifaa kitakuwa ni cha kununua, gharama ni juu yako.
Kwa wale wanaohitaji kufungiwa CCTV cameras, watahudumiwa weekend tu.
Napatikana kigamboni Dar. tuwasiliane...
Airtel Money tunaomba muweke mfumo wa kuangalia commission zetu mawakala kama ilivyo kwa vodacom au tigopesa... Tuwe tunaweza kuangalia commission muda wowote ili tuweke hesabu zetu sawa na sio kututumia sms asubuhi za commission kila siku.
Hii inatukatisha tamaa sana maana, kwanza commission...
Wakuu habari yenu,
Nimejaribu njia zote za kupata uhamisho wa mke wangu aje Dar es Salaam lakini sijafanikiwa kabisa, Niliambiwa anatakiwa amalize miaka miwili kazini..kamaliza zamani sana kaajiliwa 2015..barua nikaandika sana lakini sijafanikifa...wengine naona wanahama bila hata kutoa jasho...
Nawasilisha ombi la kuwepo kwa uzi huu ambao utatuwezesha wenye maduka ya mahitaji ya nyumbani na pia wanaouza bidhaa za aina hiyo kwa bei ya jumla kuweza kutangaza bidhaa zao.
Kupeana uzoefu na mbinu za kukabili changamoto mbalimbali ni miongoni mwa mambo yatakayojadiliwa kwenye uzi huu.
Kwa...
Mwenye kioo (screen) cha simu aina ya Samsung Note 2 au Samsung J7 naomba aniuzie...Taja bei yako tutaelewana...Biashara ni maelewano.
Kiwe Dar es Salaam turahisishe mambo.
BlackBerry passport kwa ajili ya spare inauzwa..imeharibika connector za keyboard kwenye motherboard..ukiweka motherboard nyingine inafanya kazi vizuri tu mkanda wa keyboard bado mzima kabisa pamoja na screen yake.
Kama utaitengeneza ikaweza kutype ntakupa ID na password yangu..uitumie vizuri...
SMD rework station 100,000 gun yake tu ilizingua
Fingerprint module for arduino 60,000
Speakers hizo 10,000
Motherboard hiyo utanipa 35,000
Mahali: kigamboni, Dar es Salaam
Karibuni
Habari,
Nina kilo 10 za korosho zilizobanguliwa kutoka Mtwara, nahitaji mnunuzi wa kilo kumi zote.
Bei: 23,000 Tsh kwa kilo 1.
mahali: Kigamboni, Dar Es Salaam
Asanteni.
-Vyumba viwili self ( yaani sebule, chumba, choo na bafu..choo na bafu vipo chumbani)..
-Vipo kigamboni- vijibweni, vipo karibu na kituo cha mabasi mwembeni barabara ya darajani kama dakika 2 tu kwa miguu kutoka kituo cha basi.
-Maji yapo - bure
-Umeme - wapangaji wanajitegemea luku yao..jumla...
Hapa ni mtaa wa kidongoni kata ya vijibweni mtaa ambao maya wa jiji ndio diwani..maji yamejaa si tu barabarani bali hata majumbani kwetu kumejaa maji..tatizo kubwa ni ukuta uliojengwa na kuzuia mtaro wa maji uliokuwa ukipeleka maji baharini.
Jana alikuja mkuu wa wilaya kimya, sasa kwenda...
habari wakuu,
Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye uwezo wa kumsaidia jirani yangu (binti) anayesoma shule ya kutwa ya Temeke kidato cha tano aweze kwenda shule yeyote ya bweni ya serikali yenye mchepuo wa EGM kwa sababu mazingira yake ya kusoma ni magumu sana na huyu binti anauwezo mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.