Galasa hilo hamna kitu.Huyu Jamaa timu aliyotoka haijawahi kushiriki mashindano yoyote ya kimataifa na hata kubeba kombe la ligi kuu yao. Hapo Makolo wameingizwa choo Cha like kisichokuwa na maji wala Toilet pepa.Wameuziwa Mbuzi kwenye gunia.Niseme wazi tu kwa hatua ambayo Simba ilifikia siyo ya...
Simba kazi mnayo mnamuogopa sana GS, sisi tutampa huyo huyo urais Injinia Hersi Saidi kiboko ya Makolo . Huyu GSM siyo bahili kama Hindi ndiyo maana Makolo wanamgwaya na kumuhofia sana.
Yanga ina kikosi imara na bado unafanya usajili wa maana GSM hawataki mchezo mchezo ni Back to Back mpaka...
Njaa mbaya sana ulichokiandika hakifanani na Akili uliyonayo.Viposho vya Barbara vimechetua Akili yako.Mtake msitake Morrison atachezea Yanga na atawafunga goli zuri na litawakera sana mpaka mkome kudadadeki zenu.
Umbeya mwingine bwana yani sielewi Makolo mnahangaika nn na usajili wa Yanga. Huyu Kambole awe mzuri au mbaya anakuhusu nn wewe? Acheni umbeya subiri ligi ianze ndiyo utamjua vizuri hata Saido Ntibazonkiza na wengineo wote mliwajua vizuri baada ya kuja Yanga.Tunakumbuka msimu huu mlibeza sana...
Kolo Bwana.Unapika vipi Taarifa ambazo serikali wanakata Kodi.Hiyo siyo Siri ukitaka nenda kwenye mifumo ya serikali utapata Taarifa kamili.Acha uzushi na kudanganya watu.Kelele za ubingwa mmeacha baada ya kuona mmelala dolo mmeamua kuamishia umbeya kwenye mambo yenye data na ushahidi...
Hahahahaaaa Simba mtaweweseka sana msimu huu mtasema na kuropoka msivyotakiwa kuvisema mwisho wa siku mtahaibika. Shida ni kwamba mafanikio ya klabu ya Simba mpaka walipofikia wanategemea Uchawi,kununua marefa na timu pinzani ili kufanikisha malengo yao vinginevyo hamna kitu.
Mtaweweseka sana...
Kila kitu unajua wewe.Waambie Simba na wengine wamtegemee Mungu yeye ndiyo kila kitu huko kwengine wanapoteza muda na kujidanganya hawatofanikiwa kamwe.Yanga wao wanamtegemea sana Mungu kuliko uchawi ambao Simba wamekuwa wakiutegemea wazi wazi bila hofu yoyote.
Umbeya ukizidi sana mwishowe utavishwa dera.msimu huu na mingine ijayo Simba mtaweweseka sana mwishowe mmeanza kutoa siri ya mambo ambayo Simba mmekuwa mkiyategemea kufanikisha ushindi wa timu yenu.Mwembwe nyingi kwa mkapa hatoki mtu mkienda nje mnapigwa mnarudi kutegemea kupata ushindi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.