Yericko Nyerere,
Kaka kitendo cha kuniblock katika mtandao wa Twitter kama ushahidi wangu unavyoonesha ni ishara mbaya kwangu.
Kanuni na sheria wakati wa ushiriki wangu zilikuwa ni mabandiko mengi yenye kibandiko #mswahili na kiswahili fasaha, vigezo nilivyotimiza hadi ukanitangaza mshindi...
Ushahidi wangu upo wazi, nilianza kumdai huko Twitter kupitia Direct Message (DM) lakini baada ya kuniblock sikuwa na njia nyingine zaidi ya JF. Pia madai yangu katu si porojo, nadai kwa ushahidi dhahiri kama inavyoonekana katika post yangu.
Nilianza kumdai muda mrefu tangu mwaka jana na si kwamba nimengoja kipindi hiki cha msimu wa sikukuu yeye mwenyewe shahidi. Nilianza kudai kupitia simu, ujumbe mfupi (sms) n.k bado alinizungusha.
Sawa sikufikiria kufika huku JF ila mwenendo wa Yericko kupitia ushahidi wangu unajieleza waziwazi. Ungekuwa ni wewe ndugu yangu Mandingo ungefanyaje? Pia inawezekana kwako laki 2 ni ndogo, ila kwangu ni kubwa mno.
Ndugu zangu nawasalimu nyote.
Kwa mara ya kwanza naanzisha uzi huu dhidi ya mmoja wa wanachama waandamizi wa Jamii forums ndugu Yericko Nyerere. Bwana Yericko aliasisi shindano la #Mswahili katika mtandao wa twitter akikusudia kuhimiza matumizi bora ya lugha ya kiswahili kwa watumiaji wa...
Nyaraka zilizoandaliwa na Jukwaa la Wakristo kuhusu upuuzi wa BMK ni sahihi. Viongozi wa dini wana jukumu kubwa kuonesha ukweli unaotuweka huru.
Huyo Sitta awaombe radhi viongozi wa dini. Hawezi kuwaita wapuuzi kwani kusema kwao ukweli ni wajibu wao kitaifa (kizalendo).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.