Sasa kwa mfano Dunia nzima mpaka wazungu wenyewe na Papa na Kila mkristo na asiye Mkristo wakakubaliana kwamba Yesu alikuwa mweusi tutapata faida gani?
Je Afrika ndiyo itakuwa Tajiri na kutokana na Maradhi Ujinga na Umaskini?
Ndyo itamaliza Ufisadi?
Walipize kivipi tena na wakati Facebook, Whats app, Instagram, Google (Android), Snapchat na X zote zimefungiwa na serikali ya China??
Katika hili la kuifungia Tiktok Marekani ilichelewa..
Kuna wazee wawili kwa sasa hapa nchini huwa wanaongea ukweli Mchungu japo watu wengi hawataki ukweli huo lakini ndiyo ukweli japo unaumaa...
1. Prof Janabi
2.Jenerali Ulimwengu
Kuhusu suala la Powerbank Wachina tuwape maua yao,
Ni kweli wanaweza wasiwe wazuri kwenye bidhaa nyingine lakini kwenye masuala ya Battery wachina wako juu kuliko wazungu...
Hata kampuni nyingi za Ulaya na Marekani zinapofikiria suala la battery za uhakika kwenye product zao wanatumia zaidi...
Grow Up
Kwa hiyo kama chakula hakipo kwenye Biblia ina maana hakiliwi?
Parachichi, Nanasi, Ndizi, Maembe yote hayajaandikwa kwenye Biblia Ina maana hayaliwi??
Halafu ukisoma Biblia mahali palipoandikwa nafaka haina maana ni ngano peke yake...soma na Biblia ya kiingereza Utakuta neno 'Corn'
Hilo la kupunguza vifurushi haliwezekani mkuu kumbuka leseni ya kuonyesha EPL wanalipia zaidi ya USD Mil 900$ kwa mwaka sasa unadhani hizo hela za kulipa watatoa wapi?...
Tena unaambiwa Premier League Production wameipunguzia sana DSTV gharama za Kurusha ligi yao wangeweka bei sawa na vituo...
Suala la kusheherekea Birthday Haliongezi wala kupunguza chochote kwenye Uanaume wa Mtu...
Kwa maana hata viongozi wakubwa wa Dunia huwa wanasheherekea Birthday
Hii ni Birthday party ya rais wa china Xi Jin Ping aliyoandaliwa na Rafiki yaken rais wa Urusi Vladmir Putin..na keki ilikuwepo ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.