Ukweli kwangu,kwamaoni yangu,kuamini ndoto sikweli kwamba ni kutokana na mizimu,ila kuna imani yakuota kwakujaliwa na m.mungu,but siwote.lakini ndoto nyingine nikutokana mzunguko wakila day katka maisha yako.sikwamba mizimu inatake many chance
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.