Tumesikia matusi makubwa kutoka kwa Kigwangala na kijana Mwingine Paul Makonda ambao kwa sasa kupitia BMK wamekuwa wakimuandama sana Jaji Warioba Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba:
Jaji Warioba alikuwa Waziri Mkuu mstaafu na makamu wa kwanza wa Rais wa Muungano na ni miongoni mwa Wazee...
Kama mambo mengine yote, Watanzania tunapewa Priority, kwa nini ishindikane kwenye Rasilimali zetu?? Au wizara hii tumechaguliwa mtu na mataifa ya nje??
Watanzania ukienda Mashuleni, Vyuoni, Hospitali na hata Kazini tunapewa Priority katika kila sekta, isipokuwa kwenye Swala hili la Gesi...
Naona kuna watu wanahangaika usiku na mchana kwa sababu ya matumbo yao. Kama tutakaa kimya hatutaweza kupata katiba mpya kwani kuna choko choko zinaendelezwa na wanganga njaa kuuhusu maamuzi ya CC ya chadema. Kuna waandishi wanaandika utumbo wahariri nao wamepoyea, wanaandika hata vitu ambavyo...
Wana JF,
Nadhani umefika wakati wa TRA kuweka mfumo wa Mfanyakazi kufuatilia kiasi cha kodi anazochangi kupitia PAYE, inashangaza sana makampuni mengi hapa nchini yanakwepa kulipa kodi ya PAYE pamoja na Pensions kama NSSF, PPF etc. Makampuni mengi ya Wawekezaji huwa hayalipi kodi hii kwa...
Wana JF,
Kwa namna ya Pekee naomba kutoa pongezi kwa Jamii Forums pamoja na timu yote iliyobuni Mtandao huu...
Mtandao huu ulikuwa unapigwa vita na Viongozi wengi sana wa CCM hadi JF inakuwa Agenda ndani ya CC, NEC na hadi vikao vya Wabunge CCM...
Naomba kwa heshima tu ya JF nisiwataje kwani...
Haya ni baadhi tu ya mafaniko ya CHADEMA ambayo watanzania wengi watajuvunia tokea kipindi cha Kuanzishwa kwa Vyama Vingi vya Siasa.
Ni mafanikio ambayo hayawezi kupingwa na Mtanzania yeyote aliyejaliwa kuwa na uwezo wa Kawaida wa Kufikiria na si lazima uwe umesoma.
1. KUWAELIMISHA RAIA HAKI...
Watanzania,
Mbinu Pekee ya Kuimaliza CCM wakati wa Uchaguzi 2014 na 2015 ni kuanza harakati za kujiunga na kuisupport CCM kuanzia sasa, kuhakikisha vijana wengi wanapewa elimu na kuanza kujiunga na CCM kwa lengo la kuipindua 2014 na 2015 kwenye uchaguzi.
Ni kuhakikisha zile Dakika za Mwisho...
Ndugu WaTZ,
Ni lini matokeo haya ya Kiuharamia yatakwisha???, Maana kadiri siku zinavyikwenda kuna watu wanaofikiri TZ ipo kwa ajili yao wanazidi kucheza Mchezo mchafu dhidi ya Watanzania.
Tunakumbuka Matukio Kadhaa yaliyopita
Kwanza Kutekwa Kwa Dr Ulimboka, Pamoja na kwamba lengo lilikuwa...
Ndugu wanaJF,
Kuna watu wamepewa hela na kuzunguka kwenye Vijiwe na kwenye Daladala Kazi yao kubwa imekuwa ni kuwaponda Waalimu na Wanafunzi kwenye swala hili la Matokeo ya form four kuwa mabaya sana Mwaka huu.
Tangu Mwishoni mwa Wiki iliyopita mimi binafsi nimeshuhudia mara nyingu Swala hili...
Ndugu zangu wana JF,
Tusifanywe kana kwamba na sisi wenye nchi hii tusifanywe hatujui hesabu za kujumlisha, kutoa,kuzidisha na Kuganya... Hivi kama misamaha ya kodi ina fikia 1.3Trilion kwa mwaka, kwanini tusiondoe hiyo misamaha na badala yake tukawapa Waalimu, madaktari hizo Hela???, Kwa nini...
It is better to lead from behind and to put others in front, especially when you celebrate victory when nice things occur. You take the front line when there is danger. Then people will appreciate your leadership.
PEOPLES POWER
Ndugu wana DAR,
Mimi binafsi nawapongeza kwa jinsi ambavyo mlijitokeza siku ya tar 27 katika uwanja wa CDM Square... Lakini niseme tu binafsi niliona kama makamanda hawakupata Muda wa kutosha kuhutubia wananchi mfano mtu kama Wenje, Myika, Lema, Marando, Prof Safari, Mdee, Mpendazoe, Heche...
Wadau,
Mimi nataka kufahamu sisi kama watanzania target yetu kubwa ni nini?, Maana hata wakati nyerere na wale watu wengine target yao ilikuwa ni kumg'oa Mkoloni ili aingie Mtanzania ambaye hana uhusiano hata kidogo na wazungu, walowezi etc.
Sasa wakati huu na karne hii kinachoonekana ni...
Wana JF,
Kuna tabia kwa sasa imeibuka ya watendaji serikalini na Wana CCM ya Kufunga macho na kufanya mambo bila kufikiria hasa Jeshi la polisi.
Mfano wa Matukio yaliyotokea siku za karibuni wabunge wa Majimbo mawili kukatwa mapanga na wafuasi wa CCM kule mwanza ili kutisha wapiga kura na...
BARAZA Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) limesema kuwa mabadiliko ya baraza la mawaziri yanayotarajiwa kufanyika wakati wowote si suluhu ya kupunguza au kumaliza ubadhirifu serikalini kwa madai kuwa ufisadi ni sehemu ya mfumo wa utawala wa CCM.
Aidha kuvunjwa kwa baraza la...
Wana JF naona tumekuwa tunawasahau Manaibu mawazi katika hili sakata la wizi wa pesa na Rasilimali za WaTZ
Mfana:
1. Omar Nundu anataka kufa na wa kwake pamoja na Katibu Mkuu.
2. Wa Viwanda na Biashara tunamfahamu hata hivyo no Majuzi tu alikuwa na Msala Majuzi kule Singida.
3. Kama...
Wana JF nimeona nifanye analysis ya maamuzi ya kisanii yanayofanywa na CCM pamoja na JK wake.
1. Ni faida kwa CDM, kama CCM watakomaa na kuwang'ang'ania mafisadi wake kwani kila wakilipuliwa jukwaana lazima tuwapate wananchama wengi huko tunakoenda kwani kuanzia juzi hadi leo hii CDM...
Wana JF,
Nina sababu kwa nini nasema tuachane na Kura ya Siri, bali tupige kura ya Wazi.
1. Kwanza itapunguza Rushwa kwenye Uchaguzi.
2. Tuatapungaza sana Vilaza kwenye uwakilishi wa Wananchi, mfano jana nilifuatilia mchakato wa kujieleza tangu mwanzo hadi mwisho na nilitegemea ushauri wa Dr...
Ndugu wana CDM,
Sasa umefika wakati wa kufanya maamuzi magumi kuliko kipindi chochote, Kina sisimizi wanafanya mapambano ya chini kwa chini kutataka kuonekana wao ndiyo wana haki ya kuwa viongozi wa wananchi.
Nasikita kuona kuna vijana wa juzi tu 2005 leo wanataka nafasi za juu ile hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.