Ili watawala wafuate sheria, cha kwanza ni kuuondoa katiba ya mwaka77.
Hii katiba imemfanya rais kuwa msaidizi wa karibu wa 'Mungu'.
Yaani msululu wa sheria zooooote then katiba ikaja kumpa mamlaka rais ya kufanya ' jambo lolote bila ya kushauriana na yeyote'... Huu ni msingi wa upuuzi wote...
Sheria zimewekwa vizuri sema hazifuatwi. Rais au waziri anapaswa kufuata masharti ya sheria za nchi ila tatizo wanajitwalia twalia tu kinyume na Sheria. Ukitaka kuchukua ardhi ya kijiji lazma ngazi zote zishirikishwe kuanzia chini (Soma VLA)... Tatizo bongo hawafuati sheria. Labda tutunge sheria...
Uyu sasa anaanza kukaa upande wa wananchi... Safiiiii. Nadhani rais anataka mwelekeo huu ila wengi wameshindwa kutafsiri 'desire' ya mh rais. Polisi, tra, TBS,EWURA nk nk chukueni huu mwelekeo. Sio kutoa amri zinazomchonganisha rais na wananchi.
Kama title ilivo apo juu.
Naileta jukwaa Ili kwa kuwa hapa jf mimi ni mdau mkubwa wa jukwaa Ili zaidi ya majukwaa mengine yote.
Kwa wale wote waliohamia mikoani kama dodoma ivo kuhitaji kuachia Nyumba walikotoka (DSM)
Nahitaji kupata Nyumba yenye hati kwa kuwa tayari nishaumizwa na wajanja...
Japo mimi ni mhasibu ila kiukweli taaluma yetu imeingiliwa. Ukiwa na pesa na muda wa kupitia past papers tayari wewe ni mhasibu aliyeidhinishwa. Pia ninaye classmate yuko Tanapa nilisoma naye akafeli form 4 wakati sisi tunaenda advanced yeye akaanza ATEC.
Leo hii ni mhasibu mzito huko...
Ni wapi nilisema imetungwa uko Rumi? B. C au A. D unazijua ? Unajua zilianza lini kutumika? Yaani unajua zina maana gani kuanzia 1A.D? Kwa nn alipozaliwa flani miaka ikafutwa ikaanza kuhesabiwa upya 1A.D? MPAKA kufika leo ikawa 2018
Mm sio verified user. Kupata details zangu ni mpaka ukamshtaki maxece mahakamani, ivo siwezi toa details zangu apa. Cha msingi mnielekeze la kufanya au wa kumtafuta officially tatizo likijirudia. Toeni namba zenu tuwatafute
Ili ni kweli kabisaa.... Kuna rafik yangu alipanga Nyumba ya muarabu pale kigogo round about kituo kinaitwa kituo kipya... Miaka yote uwa namshawishi awe na usafiri aachane na adha za usafiri wa umma maana ana Nyumba nzima na parking ya magari kama 4 ivi.
January akafanyia kazi ushauri wangu...
TANESCO... Mm nawashukuru kwa kujiunga na mabenki katika kuuza LUKU maana umeme ukiishia usiku naamka na kununua kwa simbanking ilo liko poa.
Tatizo langu uwa nashangaa umeme kuzima ghafla Kwangu wakati kwa majirani unawaka, hata nikiwapigia simu uwa hamfiki mpaka Mungu ananihurumia anarudisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.