Search results

  1. H

    Kukosa hamu ya chakula

    Pole na tatizo la appetite…kuna vyanzo vingi vya appetite kupotea. Mfano ugonjwa wa Depression (sonona) aneroxia (ugonjwa wa kuogopa kuongezeka uzito) magonjwa kwenye digestive system madawa kama antibiotics, chemotherapy, na narcotics, yanawezasababisha pia poor appetite. Magonjwa sugu...
  2. H

    Sababu za kuwa na usingizi mwingi usioisha!

    INAWEZEKANA UNA SONONA (DEPRESSION) NENDA INSTAGRAM: @ psychological_support_tz AU LIKE PAGE FACEBOOK : https://www.facebook.com/pages/Psychological-Support-and-Mental-health-Awareness/159663587434912 UTAPEWA MSAADA..PIA PAGE ZOTE ZINA NAMBA ZA MADAKTARI..KILA LA KHERI
  3. H

    Utamjuaje mtu mwenye ugonjwa wa akili au tatizo la kisaikolojia, sio lazima kuchanganyikiwa

    AFYA YA AKILI Ni mjumuiko wa hali ya mtu kuwa vizuri kihisia, kisaikolojia na kijamii. Hii inahusisha jinsi ambavyo mtu anafikiria, anavyohisi,na jisi anavyotenda/kufanya mambo yake. Inamaanisha kua, Kunapokua na tatizo kwenye afya ya akili ndipo mtu anakua na tatizo katika hisia, mawazo...
  4. H

    Sababu za kuwa na usingizi mwingi usioisha!

    . je una dalili hizi????? 1. Kuwa na huzuni iliyopitiliza 2.kushindwa kufurahia kazi na mambo yaliyokupa raha hapo awali mfano tendo la ndoa 3 kukosa hamu ya kula au kula na kulala sana (usingizi kupita kiasi) 4.hali ya kukata tamaa na kujiona mwenye hatia (guity) au kujiona mtu wa kushindwa (a...
  5. H

    Kuchoka mwili

    yapo magonjwa mengi yanayoambatana na dalili hizo mbili. kuchoka na usingizi. hivyo sio rahisi kukupa ushauri bila kujua chanzo cha tatizo lako. ni vizuri ukaenda kuonana na daktari. kupuuzia dalili zinazoonekana ndogo kama hizi huweza kusababisha madhara makubwa baadae pale unapokuja gundua...
  6. H

    Tatizo la utundu uliopitiliza na kukosa utulivu kwa watoto

    kiboko huzidisha tatizo na kusababisha matatizo mengine kama wizi n.k Matibabu ya matatizo ya kitabia kwa watoto Watoto bila kutibiwa matatizo ya kitabia wnaweza kukua na kuwa watu wazima wasioweza kufanya kazi. Kwa ujumla, KUTAFUTA MATIBABU mapema, kuna uwezekano wa kuwepo matokeo mazuri...
  7. H

    Tatizo la utundu uliopitiliza na kukosa utulivu kwa watoto

    KITAALAM TATIZO HILI LINAITWA (ATTENTION DEFICIT HYPERACTIVITY DISORDER (ADHD) Watoto wenye tatizo hili ni wale ambao wana shida ya kukosa utulivu, kukurupuka na kua na utundu uliopitiliza Dalili zinazoashiria Utundu uliopitiliza (hyperactivity symptoms)ni kama • muda wote...
  8. H

    Kama una panic, huu ni ugonjwa na unatibikaa

    tatizo lako ni social anxiety. Hutibika 100% bila dawa. Usiteseke, waone clinical psychologist utapona
  9. H

    Kama una panic, huu ni ugonjwa na unatibikaa

    uhusiano upo. tena mkubwa sana. Waweza KUPIGA 0754836659 KWA MSAADA
  10. H

    Je; unajua kua hasira kupita kiasi ni ugonjwa? Zijue dalili

    Kitaalam tatizo hili linajulikana kama INTERMITTENT EXPLOSIVE DISORDER (IED) na dalili zake ni · hasira za ghafla zilizopitiliza (explosive outbursts of anger to the point of rage) · kupiga kelele au kurusha au kuvuja vitu anapokasirika, · kushindwa kuzuia au kucontrol...
  11. H

    Kama una panic, huu ni ugonjwa na unatibikaa

    wataalamu wa saikolojia na magonjwA YA AKILI NDIO WANAOWEZA KUKUPATIA SULUHISHO LA KUDUMU
  12. H

    Kama una panic, huu ni ugonjwa na unatibikaa

    asante kwa kuelimisha wengine. natumaini maelezo yako yatawasaidi kujua kua tatizo hili halisababishwi na ushirikina na kua linatibiwa hospitalin
  13. H

    Kama una panic, huu ni ugonjwa na unatibikaa

    hapana; ugonjwa huu hauwezi kusababisaha kifo ila kutokana natsatizo hili mtu anaweza kupata sonona (itakayosababisha kujiua) na magonjwa ya moyo ambayo indirectly yanaweza kupelekea kifo
  14. H

    Dawa ya Kupunguza Hasira

    hasira iliyopitiliza ni tatizo. hata hivyo; kuna magonjwa mengi sana ya kisaikolojia ambayo mojawapo ya dalili zake ni hasira ambayo mtu anashindwa kuicontrol. kwa dalili hizo mbili tu ulizotoa sio rahisi kukuambia tatizo lake. baadhi tu ya matatizo yanayoweza kua na dalili hizo mbili ni Sonona...
  15. H

    Kama una panic, huu ni ugonjwa na unatibikaa

    Imekua ni kawaida kusikia mtu akisema ninapanic sana. Je; ni kweli kinachowatokea ni tatizo linalojulikana kama panic attack au ugonjwa wa panic? Dalili za tatizo hili la panic ni kama hizi zifuatazo Kwanza kabisa; Dalili hizi hutokea ghafla na hufikia kilele au ukali wake ndani ya dakika...
  16. H

    Mapigo ya moyo yameongezeka

    ZIJUE DALILI ZA PANIC ATTACK Imekua ni kawaida kusikia mtu akisema ninapanic sana. Je; ni kweli kinachowatokea ni tatizo linalojulikana kama panic attack au ugonjwa wa panic? Dalili za tatizo hili la panic ni kama hizi zifuatazo Kwanza kabisa; Dalili hizi hutokea ghafla na hufikia kilele au...
  17. H

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Masturbation kwa walio wengi huanza wakati wa adolescent baada tu ya kubalehe. Tafiti zinaonyeshea kua wanaume hufanya tendo hili (mara 3-4 kwa mwezi) nyingi kuliko wanawake. Watu wengu pia huyatambua maumbile yao na raha ya tendo la ndoa kupitia ,masturbation. Japokua ni njia salama ya...
  18. H

    Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

    Asilimia ishirini (20% ) ya matatizo ya nguvu za kiume husababishwa na matatizo ya kisaikolojia. Kwa baadhi ya wanaume wenye tatizo hili (na hata wanawake wasiofurahia tendo) ni matokeo ya kifiziolojia yanayoanzia tangu utotoni baada ya KUUMIZWA KIHISIA katika tukio lolote linalohusiana na...
  19. H

    How do you treat Social Anxiety Disorder?

    kama bado hujapata msaada niinbox. hope he get well soon
Back
Top Bottom