Kilichotokea jana Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Profesa Mkumbo na Profesa Mkandala watuhumiana u-Nkurunzinza
-
Profesa Kitila Mkumbo ni Mwenyekiti wa UDASA, Chuo Kikuu cha DSM. Kwa sasa yupo likizo ya ndani ya kunoa ubongo maarufu kwa kimombo kama Local Sabbatical Leave...
Kilichotokea jana Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Profesa Mkumbo na Profesa Mkandala watuhumiana u-Nkurunzinza
-
Profesa Kitila Mkumbo ni Mwenyekiti wa UDASA, Chuo Kikuu cha DSM. Kwa sasa yupo likizo ya ndani ya kunoa ubongo maarufu kwa kimombo kama Local Sabbatical Leave...
Tangu juzi katika ATM za CRDB kila nikienda hakuna huduma...maeneo matatu tofauti..naona hela za mishahara ya serikali zimewalewesha kama ilivyokuwa NMB. Kama.hamuwezi kuendesha ATM mzitoe mitaani.
Na hiyo ni Dar...sijui mikoani itakuwaje
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU; LIPUMBA ATAIFAA UKAWA KULIKO SLAA.
Wakuu,
leo naanza siku kwa tafakari muhimu hasa juu ya utata naojitokeza hasa juu ya mgombea gani upinzani anapaswa kupeperusha bendera ya UKAWA. Binafsi siamini kabisa kuwa ukawa wataingia uchaguzi mkuu wakiwa pamoja. uchambuzi huu...
Alliance for Change and Transparency
(ACT-Tanzania)
___________________________________
Msingi wa Mtafaruku uliosababishwa na Mwenyekiti wa Muda wa Taifa Ndugu Kadawi Lucas Limbu
________________________________________________________________
1. Ndugu...
Simulizi ya Ludovick Joseph
---- Kwa wafuatiliaji wa taarifa katika vyombo vya habari na hasa magazeti wanafahamu kuwa nimekuwa nikihusishwa na matukio kadhaa ya kisiasa na hatimaye pamoja na Lwakatare mkurungezi wa ulinzi wa CHADEMA Taifa, Tulifunguliwa mashitaka na kuwekwa gerezani ambapo...
Nimetumia chadema kumaanisha upinzani pia. watu hawa ingawa hujifanya wana demokrasia, lakini matendo yao hayaendani na wanademokrasia wengine popote duniani.
hapa kwetu pekee ndipo wachache wanataka watawale wengi.mifano imejaa.nitumie mmoja ambao umewafanya kituko. katiba mpya. wao wanataka...
Ndugu,
naona niweke sawa jambo moja ambalo ------- wa CHADEMA wamekuwa wanalisema kupotosha umma. Hii picha ni siku Ludovick alipofunga ndoa Morogoro na hapo ni Morogoro Hotel mwaka 2012. kulia kwake ni msimamizi wa ndoa yake, bestman anaitwa Prosper Mbelwa. lakini viongozi wa CHADEMA na waongo...
Wana JF,
Tunawasalimia kwa salaam inayoashiria uwazi na mabadiliko.
Jana, ofisi ya mkoa ya ACT-TANZANIA, Arusha iliyoko katikati ya jiji mkabala na shule ya msingi Levolosi imevunjwa na watu wasiofahamika na kuibwa baadhi ya nyaraka muhimu na mali nyingine. vitu vilivyoibiwa ni pamoja na,
1...
Wakuu,
john heche mwenyekiti wa vijana aliyemaliza muda wake, anaweza kuipasua chadema,ama kujiondoa kwenye chama hicho muda wowote.
zitto kabwe alipofukuzwa uongozi, viongozi wa chadema walimuahidi heche kuwa ndiye atapewa unaibu katibu mkuu. ni kwa kutaka kuepusha mgogoro kule tarime kati...
Wandugu,
Julieth ameenguliwa kugombea umakamu mwenyekiti wa BAVICHA.Tuhuma zake ni kutumika na Shibuda na Zitto.
Hata hivyo Julieth alikuwa akitumwa Shinyanga na chama kutokea idara ya sheria wakati ule wa kesi za Shibuda.
Tuhuma ya pili ni kuwa alifoji kuwa diwani viti maalumu Karagwe...
Yericko, anasema kila propaganda inajibiwa kidemokrasi? maana yake uchaguzi wa huyu muislamu ni kutaka kujibu propaganda ya ukristo kuliko uwezo. hapo umetoa taarifa bila kujijua. pia uchaguzi huu jana ulifutwa na kurudiwa mara mbili. mzee ntagazwa alishinda,akaambiwa kura hazijavuka asilimia...
Ben,
Na wewe siku hizi umekuwa na mdomo wa kufyatua makombora ya matusi? nini kimekukuta? bado umelewa majonzi ya kuenguliwa bavicha na vihela ulivyounguza?
on the serious note! hujamwelewa pasco.maana ameona na kupongeza angalizo langu.lipi hilo, kuwa hawa akina halima, kiwhelu ndo...
Maigizo ya Halima Mdee kuchukuliwa fomu ya kugombea BAWACHA ni ya hatari sana kwa CHADEMA. hiyo ni njama tu ya kutaka chama kinakuwa mikononi mwa watu walewale wa kulekuleee. kwanza Halima bado ni kijana kuliko mwanamke. hatujui kama hata amekwisha kuolewa wala kama ana mtoto. Kwa haiba hiyo...
Jana ilikuwa siku ya ile kesi ya Lwakatare na Ludovick. Gazeti la Mtanzania limeanza kuchapisha mfululizo wa mahojiano liliyofanya na Ludovick kuhusu kuhusishwa kwake na mambo mbalimbali ikiwamo ugaidi.linaendelea jumapili ijayo. sasa chadema kwa hofu yao kuwa yawezekana ametoboa siri kuu ya...
Hoyce,
mimi na wewe tunaijua hiyo katiba kanuni na vifungu vyake.tunachohoji hapa ni kwa nini double standard?
kurugenzi ya habari waweke taarifa hapa ni wangapi walichukua fomu kuomba uenyekiti mkoa. wangapi wamerudisha fomu na ambao hawakurudisha ni kwa nini?
Wakuu,
Sasa ni dhahiri CHADEMA kimeanza kuwa kama CCM.
John mnyika amekuwa akisema kinafiki kuwa hagombei uenyekiti wa chama Ubungo. Ajabu ni kuwa juzi na jana viongozi wa chama na wabunge maarufu kama Mdee na Lema, wametumika kutishia watu wajitoe ili mnyinka apite bila kupingwa...
Ludovick ndiye alimrekodi lwakatare. alipojua mpango muovu wa lwakatare aliamua kumtafuta msaky kumueleza ili achukue tahadhari. msaky akamwambia Emmanuel Nchimbi aliyekuwa rafiki yake sana.
nchimbi ndiye alimwambia Mwigullu. so Mwigullu akamtafuta Ludo kwa simu na ndiyo maana walionekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.