Eeeh bwana ukweli ni kwamba wanawake wa siku hizi wanapenda kuolewa ili wawe na miji yao na si kwamba huwa wanawapenda wanaume wanao waoa ndo maaana wanaolewa lakini bado wale ma xb wanaendelea kula mambo kwani huyo ndiye anaempenda sema hayuko tayari kuoa mi taua mtu acha bwana mke anauma sana...
Mungu yupo nyuma na mbele ya watanzania wapenda mabadiliko hata bila mabango dr.atashinda tu mungu aliamuru usiibe ccm wameiba pesa za wananchi kwa kutengenezea picha hakika ni dhambi hukumu yao inanukia
yalaaaaaaa Munguu yupo bwana ccm itatoweka kama utawala wa rumi ulivyotoweka KULA NA USAFIRI,PESA TUNAPATA CCM BUREEE,KURA NI CHADEMA KWA DR.SLAAAAA NA WABUNGE WAKE PIA MADIWANI
hivi huyu anaesema eti kuna watoto ana akili timamu kweli nahisi huyu ni mwana ccm miongoni mwa wale wanaofaidi matunda ya nchi hii jamani mi nasoma udom wananchi dodoma maisha ni magumu si kawaida vitu bei juu hasa baada ya kuingia madarakani huyu mtalii kikwete lakini mijitu mijingamijinga...
hizo cd bwana binafsi huwa napenda sana kutizama ili nijue ni jinsi gani naweza kumngonoa my fiancee kwa uzuri na utalaam zaidi kila kitu kina mazara mazuri na mabaya ukiitumia vibaya hiyo mi -cd at the end utashawishika umle tigo ur wife au ur wife atashawika aliwe tigo aone kama kuna utamuuuu...
pole mtu mzima wanawake nawaogopa sana hawaaminiki na wala huwa hawajulikani wanataka nini haswa hata uwe na pesa , mwli mkubwa, mrefu ,handsome , umsex mpaka atosheke lakini bado atatongozwa na watu vicheche na watampiga mibao tena siku hizi wanaliwa sana tigo hasa mtu ukiwa na mkeo au mchumba...
haijulikani na kamwe hutopata jibu sahihi kwamba wanawake wanapenda nini wapo wenye waume wenye pesa nyingi lakini bado anatoka nje wapo wenye miili mikubwa na warefu lakini bado wake zao wanapigwa miti nje so hakuna jibu lakini wanawake huwa hawana akli timamu kwenye mapenzi ni wajinga sana
adhabu ya nini dawa ya wanawake siku hizi ni kuwachapa nao kwa sana ukimpata we mpige nao kisawasawa alafu usihangaike kumfatilia sana utaumia moyo hawaaminiki si wake za watu wala walokole wote hakuna mwenye sifa ya kuolewa noma sana wana mademu hawa we acha tu
aaah huyo muotaji ni lazma anaendelea na hao jamaa zake yaani ma ex wake ama sivyo bado anawatamani sana hao ma ex wake na siku akikutana nao ni lazma wale katunda chembaa aaaaah hahahahhaaaaa teheeteheeee mapenzi bwana noma sana unaweza ua mtu kabisa hasa wanawake sijui wakoje hawatulii...
ni kweli bwana cm noma wangu miye nna mchumba wangu tulipotezana baada ya kumaliza kidato cha sita lakini cm ilituunganisha mi nikiwa udom yeye udsm na mpaka sasa ninaye lakini magomvi yetu makubwa huwa yanasababishwa na cm tu na wala si kingine
mimi ni kidume bwana nitanyamaza na kumuamuru tuelekee home mimi ka mimi nitamshushia cosovooo hilo baada ya hapo achukue zake time maana ukimnyamazia na kumbakisha atakuchoma madoko huyo chunga sana wanawake huwa wanamajaribu sana ukilegea tu umeumia wangu
huyo ni mtz mwenzetu masikini wa elimu,fikra,huruma,chakula,pesa tusimtenge tumuonee huruma najua anatafuta ccm impe ulaji wa udiwani au ubunge viti maalum si mliwaona akina vick kamata walikuwa na malengo yao si huyo tu je mlokole aliyetuaibisha sisi watz Frola Mbasha na mumewe vipi hawa...
mi naumwa sana napoona watz wenzangu wakisikilza sera za shetani ccm na wafuasi wake hasa huyo JK daaa maisha bora kwa kila mtanzania kweli ni bora liende kajamaa kenyewe maisha bora kwani kamesafiri duniani koote mpaka kameanza kurudiarudia safari hii kakishinda kataenda mwezini na sayari ya...
huna akili msomi mzima unasema upupu huuu mi mwenyewe pia ni msomi wa shahada ya pili frm mzumbe sioni kibaya kwa Dr kwani anasema ukweli we na hcho kshahada chako kmoja unaona umefka sana mpaka kumponda Dr kwamba usomo wake ni divinity huna akili nzuri na nahsi we ni mwislam au mwana ccm...
wewe ni miongoni mwa wana ccm tena mtanzania usiyependa kupewa ukweli acha ujinga wewe mbona binadamu sisi ni watu wa ajabu mtu kaamua kuwapa ukweli na uchafu wa chama chako ccm wewe unaona kama anapoteza mda mwingi kuzungumzia scandal kama hutaki kaa kimya wewe msaliti wa taifa hili potelea...
acha ujinga wewe au wewe ni miongoni mwa mafisadi nahisi uwenda wewe si msomi maana ccm inawalaghai watanzania wengi ambao hawajaenda shule kwa kuwapa viela,pilau,nyama,chumvi,t shirt,kanga nahisi nawe ni miongoni mwao mbona watanzania hatupendi kuambiwa ukweli jamani mtu anawaambia ukweli eti...
Karaha karaha jamani watanzania tuamke amuoni wenzetu Kenya mbona KANU ilienguliwa na chama kingine kikashika hatamu mbona wameweza mambo mengi mpaka wamebadilisha na katiba CCM haifai watanzania imebaki kuegemea kwa marehemu Baba wa Taifa hili JK nyerere CCM hii ni ya matajiri,wala rushwa pia...
weewee acha ujinga na we si mwarabu ni una njaa nyingi ya ngono na ndo inakufanya udanganye watu kwamba we ni mwarabu kwanza nyie ndo mnawafira dada zetu kumbuka mwanamke alishalaaniwa kwamba mume atamtawala so nyie hasa wewe unayejiita mwarabu koko mnawafira chunga sana wewe bwana mdogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.