Hapa Bariadi kila mwandishi wa habari amewekwa mfukoni na wanasiasa, tena kwa kulipwa ujira mdogo sana Jambo linalozalilisha taaluma yao. Halafu mbaya Zaidi hawanaga siri kwani hata kwenye magroup yao wenyewe hawaaminiani.
Siku ya kikao cha DCC tayari wote hao 7 walishachagua upande na...
Sijawahi kuona nchi yeyote duniani wananchi wake wanaifurahia kuwa wanyonge.... It's only happening in TANZANIA. Nimejifunza mambo yafuatayo katika msiba huu,
Mosi, kuna shida kubwa ya umaskini ndani ya jamii yetu.
Pili, kuna shida kubwa sana ya ajira katika nchi yetu tena inatisha sana...
Tafsiri neno 'Mnyonge' ni pana sana la hakika watu wengi hatujuwi maana halisi. Kibaya zaidi tunafurahia kuitwa wanyonge. Mkuu aliweza sana kubadilisha mindset zetu na wote kuendelea kupenda umakini na unyonge.
Mganga wa JPM alikuwa mkali sana aliweza kuogopwa na kila mtu hata mtoto aliyopo...
Kwenye lift nikiwa Antwerp, Belgium ilikuwa usiku wa manane kama saa 8 halafu akatukuta mdada wala hatukumjali na kwakuwa wazungu hawana mambo ya kufuatilia mambo yasiyo wahusu tukaendelea na raha zetu
Nakumbuka rafiki yangu mmoja ni Padre aliwahi niambia nawapenda Waislam kwa mambo yafuatayo , kufunga Ramadhan mwezi mzima, kuswali swala Tano kila siku, ndoa zao na namna wanavyozikana.
Akasema sisi Wakristo KUSALI kila siku tumachiwa sisi tunaokaa abayasian na bado hata jumapili au jumamosi...
Unjan kaka.....umenikumbusha maisha ya Durban nimekumbuka mbali sana. Workshop ni maarufu sana yaani kama Kariakoo kwa maana magari karibia yote yanaanzia hapo kwenda Umpagen, Westville, Kwamachu, Umlaz, Wastgate, Umhalanga, Pavillion nk.....
Hapo Workshop kuna mtaa maarufu kama Kariakoo...
Nina rafiki yangu ameanza mchakato wa kuwa badilisha watoto wake majina ambayo yanaonesha kabila..... Anataka yawe majina ya biblia kabisa ili mtu asijue ni kabila gani..... Nilipomuuliza akasema mbeleni anaona giza nene ndio maana ameamua kujihami mapema
Tunapambana na watu na siyo mfumo hilo ni kosa kubwa sana kwa maendeleo ya nchi...... Nchi zote zilizoendelea zilifanikiwa kutengeneza mifumo thabiti. Tanzania dira ya nchi ni kiongozi mkuu wa nchi na siyo mifumo. Belive me atakuja Rais atasema vipaumbele vyake ni Gas asilia wala siyo stigler's...
Alishindwa ubunge kura za maoni dhidi ya Murtaza Mangungo huko Kilwa Kaskazini...... CC ya chama ikamkata Murtaza ikampa hiyo aliyepata kura chache mno.
Leo ameshindwa kuapa....amezoea vya kupewa basi asiape awe tu waziri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.