Wapendwa kama kuna aliewahi pata Hili tataizo anisaidie alivosaidiwa
Email yangu niliotumia kujiunga na ajira portal iko dis abled means siwez kuitumia je kuna uwezekana ajira portal wakanibadilishia taarifa zangu kwenda email nyingine kama kuna aliewahi pata shida kama hii anisaidie...
Ninaomba kwa wale wanafanya biashara ya uber/ bolt au taxi mnisaidie mawazo nina gari yangu aina ya Raumu nataka nkafanye biashara hyo Jiji la Dodoma nipeni ushauri nini nifanye changamoto Ili nipate mwanga
Nakaribisha mawazo yenu
Ndugu zangu niko na gari aina ya Raumu nataka nitumie walau nijipatie riziki naomba mwenye kujua sehemu ambayo ina njia nzuri alafu kuna changamoto ya usafiri anielekeze humu nikafanye hapo kazi.
Gari yangu ina uwezo wa kubeba abiria kuanzia 5 Hadi nane hivi hata kama ni rough road walau pawe...
Habari zenu wapendwa natafuta asali kwa mtu mwenye nayo naomba tufamiane tufanye biashara
Asali nyuki wakubwa kwa wadogo
awe havuni kwa kutumia moto (traditional way ) awe anavuna kwa njia tofauti na moto.
Iwe pure asali mimi niko moshi nitafute kwa 0769625978 tufanye biashara
nahitaji kiasi...
habari zenu wapendwa napenda mnisaidie gari gani ni ngumu kati ya TOYOTA WISH AU TOYOTA RACTS
nahitaji kununua gari ila machaguo yangu ni kati ya magari hayo mawili
nishaurini gari gani itaweza kudumu ambayo haitanisumbua kila siku kwenda services
mawazo yenu ni muhimu sana
Habari wana jamvi
Mimi nimechaguliwa kusoma chuo course ya bachelor of science in education UDOM ila baada ya kufika chuo malengo yangu yalikua kusoma NURSING nmeulizia utaratibu wa kubadili nmepewa masharti magumu sana.
Kwamba kuna mawili naweza badili alafu nikasitishiwa mkopo na mimi hapa...
Habari zenu wapendwa
PCB niko na ufaulu huu ECC naombeni ushauri ni course gani kati ya hizo hapo juu nikisoma ni nzuri na pana katika upande wa ajira
itakayonisaidia
mawazo yenu ni muhimu sana nasubiri ushaur wenu nianze application
Naomba msaada kwa waliosoma bachelor of science nursing ajira zake zikoje kwa mtu aliemaliza degree maana sjawahi kuona tangazo la kazi zikiwahitaji hawa watalaam na inachukua mda gani kusoma hii kozi nahitaji ushauri wenu ili nijue kama naweza kuisoma nmefanya nimepata phy E, Chem C, Bios...
Napenda kuwapongeza tovuti ya ajira kwa hatua hii kubwa kuweza kubadili mfumo wa uombaji kazi hii itatusaidia kupubguza gharama za kutuma maombi nawapongeza sana kwa kuanzisha hii system mpya vijana wengi hata wale ambao hawana uwezo watapata kazi ombi langu kwenu buni njia mbadala wa kuita...
habari wana jamvi
Nmechaguliwa kusomea bachelor of education in mathematics kwenye chuo hapo juu lakini sjajua umuhimu wa hii course je ukimaliza unakuwa mwalimu wa hesabu tu au unajiriwa kama mkufunzi wa chuo msaada tafadhali nataka njue umuhimu wake ndo nchukue maamuzi ya kujiunga hivo ushaur...
wapendwa wale wenzangu niko moshi kwa mda natafuta sehemu ya kula bata nielekeze maeneo mazuri ninayoweza kula bata vizur niburudike hata na mtoto wa kichaga kidogo
Habari wanajamvi.
Naomba ushauri nmekuwa na mchumba wangu takriban miaka minne lakin hatukuwa kufanya sex sababu ya umbali tulokuwa nao yeye yuko chuo ni mimi chuo baadae mimi nikamaliza chuo nikaingia mtaani.
Tuliendelea kuishi vizuri lakini baadae uhusiano ulianza kuyumba nilimtumia kidogo...
Jamani kwa wale tuliofanya oral enterview ijumaa na jmosi iliyopita kuna watu wameitwa kazini maana walisema after two weeks wataita na leo ni j tatu mwenye taarifa atujuze
Jamani hamjambo wote wana jamvi kwa jina naitwa miriamu mbolea . nimehitimu mwaka jana bachelor banking and finance pale ifm lakini ajira hamna kabisa naingia interview nyingi lakin wananiacha wanakuana jujuu ila kuna rafiki yangu kanishauri nkasomee professional ya bank yaan Certified...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.