Hyu jamaa mbona hajielewi watu wa banking wakatengwa vipi mbona Mimi nilifanya na nime soma banking wewe utakua ulikua na challenge ingine but sio hicho ulichoandika acha upotoshji
Usikate tamaa never never mim nmeingiaa enterview tulikua 750 utumishi nkawa wa pili kwa kupata 75 lakini kwenye practical nkashindwa kutoboa sababu nilivaa casual Mkuu never give up ipo sku tu utapata na bahati nzuri umesona afya lakin pia jaribu kufuta mtu akupe miongozo kuna mahali unaweza...
Mpwayungi village angemalizia ule uzi wake angekua mtunzi bora na hata kitabu kingetoka angepiga hela sema alikosa sifa kwa kuzira hasira kwa kuangalia mudi za watu bila kukomaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.