Katika pitapita yangu hapa jijini Mwanza nimejaribu kufanya utafiti mdogo tu juu ya nani ataibuka kidedea kwenye uchaguzi wa wabunge,JIMBO LA NYAMAGANA.Kwa uhakika kabisa,pasipo ushabiki MASHA atashindwa.Kwa kuwa MASHA ameanza kuhisi hilo,amesema atatumia mbinu zote kumshinda mgombea wa...
Mmh,SUGU!
Ukilinganisha kwa uelewa na uwezo wa kupambanua mambo(weledi) kati ya Profesa Maji Marefu na Sugu,NADHANI PROFESA ANA UWEZO ZAIDI.
kwa SUGU MMECHEMSHA!
Mgombea udiwani wa kata ya Endasaki,Wilayani Hanang,Mohamed Tandu amehama chama chake na kuhamia CCM. Jambo hilo linamfanya mgombea wa CCM kupita bila kupingwa.
Source: Mwananchi,16.09.2010,ukurasa wa 8.
Maoni: Chadema msikurupuke kupata wagombea,kama nina kumbukumbu sahihi huyu ni mtu wa...
aah ndugu yangu,mbona unatuchosha kwa kuuliza majibu!!?
Yupi kwanza,yule mgombea mwenza wa Dr.Slaa?,si darasa la saba na mkondo ni B.
au unataka kujua somo la Hisabati alipata nini?
Ni kweli,kilichofanyika ni amepita kwenye kura za maoni ambazo ni wananchi ambao walengwa zaidi,wanamfahamu na wahahisi atawasaidia.kama ni kosa, basi ni la wananchi.
SHIBUDA hakujitokeza kugombea urais,alikuwa kwenye process na hata jina lake wala halikwenda nec!Mgombea alikuwa JK tu.Ikumbukwe kuwa Shibuda alimuunga mkono JK kwa kumchangia Tshs.200,000/= za kampeni na pia kumpamba kwelikweli.Leo amegeuka,Hivi Shibuda kweli anataka kuwakomboa wananchi au...
[/QUO
Jaribu kufikiria kwa undani zaidi na usichukulie mambo ya kisiasa kijuu juu! jiulize kwani hizi tuhuma zaja sasa kipindi cha kampeni! Je bora yupi mwizi wa mke wa mtu au mwizi wa rasilimali na pesa / kodi za nchi ambazo zimepelekea nchi hii kudumaa hapa tulipo?? Think twice Mkuu!
YEAH...
Nakubaliana na Binti Zion na pia Mpambalyoto kwa 100%.
Tunahitaji sera za vyama,si nani alifanya nini na nani ana nini.
Tuna mambo mengi ya kufanya na kujadili kwa ajili ya ustawi wetu binafsi na ustawi wa jamii nzima.
Nadhani tukiangalia mapungufu,hakuna wa kusimama.Inawezekana mtu akawa mlevi sana lakini hard worker au anaperform zaidi kuliko asiye mlevi.Cha msingi tuangalie ni kiongozi gani ambaye atasimamia maslahi ya Watanzania.
Mambo ya binafsi wakagombane nayo huko kwao,sie tunahitaji sera na jinsi...
Alisema hasira ndizo zilizomfanya ahamie Chadema kwa kuwa alitamani kuwaongoza wananchi kupitia ubunge, lakini aligundua kuwa nafasi yake ya baadaye kisiasa itakuwa ndani ya CCM na si chama kingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.