Habari za wakati Kama huu ndugu zangu wana JF, katika harakati zangu za kutafuta maisha nimebahatika kuishi nchi tofauti tofauti lakini niseme ukweli sisi watanzania tupo tofauti Sana na nchi nyingine zilizotuzunguka,
Naongelea nchi km Zambia, Congo, Kenya, Uganda, Malawi, Namibia, Somalia...
Nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 2000 nikiwa nimemaliza darasa la saba nilipangiwa katika moja ya shule kongwe za sekondari (bweni) hapa nchini iliyopo mkoani Kilimanjaro, ilikuwa ni boys tupu.
Kutokana na shule ilikuwa ni ya serikali, ilikuwa inachukuwa wanafunzi kutoka mikoa mbalimbali...
Habari za majukumu ndugu zangu,
Nimekuwa nikijiuliza faida ya vitendawili, ngano, methali na lugha nzima ya kiswahili kwa ujumla ni nini mpaka imekuwa lugha ya taifa? Amini usiamini lugha ya kiswahili imekuwa ni mojawapo ya sababu kubwa ya kurudisha nyuma maendeleo ya taifa letu. Ni lugha...
Hellow JF,
Mnaendeleaje na pilika za maisha za kujenga taifa letu..nlikuwa naomba msaada wa kujua kama dereva unapokamatwa na traffic kipi kinachoanza baina ya askari kukuambia utoe leseni au dereva kujua ni nini sababu ya traffic kukusimamisha?maana Leo nimepigwa faini baada tu ya...
ni mpenzi wa soka ...kuna maswali huwa najiuliza na majibu sipati..Leo kuna baadhi nimeyakumbuka ningependa wajuzi wa soka mnisaidie..
...kwa nn timu ya juve wengi hupenda kuiita kibibi kizee cha Turin au mmiliki wake ni mbibi?
na kunya timu nyingine inaitwa nyambizi ya Villarreal. .....kwann...
Habari wana JF,
Naombeni kujua bei ya dhahabu kwa gram na mnunuzi anaenunua kwa bei nzuri.
Nipo Dsm
Nb: Dhahabu mbichi (sio mkufu, hereni au vito vya thamani)
Huwa najiuliza maswali ambayo sijapata majibu mpaka sasa, pengine hapa ndipo sehemu naweza kuyapata.
Uzalendo wa nchi Hii uko wapi? Hivi ni sisi tuna timu za wataalam (explorers)wanaochunguza nchi zingine zinaendaje kiuchumi,kiintelijensia,kielimu...n.k.
Je, tunawaandalia nini vizazi vyetu...
Viwanja vinauzwa eneo la Vikawe njia ya kwenda Bagamoyo karibu na shule ya Baobab.
Umbali mfupi kutoka barabarani, ekari moja mill 22.
Kingine urefu mita 60 kwa 30 mill 15.
Kwa mawasiliano ni PM
viwanja vinauzwa eneo la vikawe njia ya kwenda bagamoyo karibu na shule ya baobab..umbali mfupi kutoka barabarani..ekari moja mill 22..kingine urefu mita 60 kwa 30 mill 15..kwa mawasiliano ni pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.