Heshima yenu wakuuu,,,,, Mimi ni Mt
umishi Wa serikalini
naomba kwa anaejua anisaidie mahali pakukopa laki nne kwa riba taacha Laptop(PC) yangu .Ntailudisha tarehe kama hii mwezi ujao
.
Naombeni mnisaidie natanguliza shukrani zangu za zati.
Ndugu wanajamvi nimeshinda milioni saba Leo na elfu arobaini wale wazeee WA mikeka mkeka wangu niliweka ile ya 2+
Ndugu zangu nipo now tabata segeraa toroka uje ila hamna watoto ninaotaka .
Unajua Mimi ninapenda kiwanja ambacho mziki unapigwa huku watoto wakike pembeni yako anakata uno...
Igweeeeeeeeeeee,,,,
Ndugu wanajamvi mpaka sasa watoto Wa masikini wanasoma chuo cha institute of adult education hawajasaini pesa zao za maraz.
Ndugu zangu vijana wanateseka sana nyuso zao zimekomaaa utafikili wazeeee WA miaka 70.
Bodi ya mikopo tatizo nini watoto wamasikini hawajapata...
Ndugu wanajamvi,
Mimi ni kijana ninatatizo lakutokujiamini hasa ninapokuwa natao speech kwenye kikundi cha watu kuanzia 60 na kuendelea.Lakini kikiwa ni kikundi cha watu kama kumi huwa mimi najiamini kupita wote na hata wao hupenda kama tunaenda ofice fulani huniachia mimi kuwa mzungumzaji mkuu...
Ndugu wanajamvi,Naombeni kujuzwa chuo chetu imeingia Hela ya Heslb tangu Tarehe 26 mwezi huu kwenye Account ya chuo.
Ndugu wanajamvi hiii pesa ni yangu ambayo ilienda chuo kingine na nilichohamia.
Ndugu zangu mimi niliisaini tangu tarehe 18.05.2016 loan officer wa chuo namuuliza ananiambia...
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,Ndugu wana jukwaaa namasikitiko makubwa na chuo hiki kinavowatesa watoto wa masikini kwa kuwacheleweshea hela zao za maraz toka loan bord hata pia wakisaini pesa hizo hukaa mwezi mzima wakizisubiri.
Mfano ninajamaa angu pale institute of adult education mkopo...
Ndugu wanajamvi,Nimesikitishwa sana Rafiki yangu namdai nilimkopesha mtoto wa masikini mkopo wake ulienda mzumbe amefaiti mpaka Tarehe 18 aliusaini pale insititute of adult education ili uingie kwenye account yake lakini ukweli ni kwamba mpaka sasa hela yake haijaingia kwenye account .
Ameenda...
Ndugu wanajamvi,Nimesikitishwa sana Rafiki yangu namdai nilimkopesha mtoto wa masikini mkopo wake ulienda mzumbe amefaiti mpaka Tarehe 18 aliusaini pale insititute of adult education ili uingie kwenye account yake lakini ukweli ni kwamba mpaka sasa hela yake haijaingia kwenye account .
Ameenda...
Ndugu wana jamvi ,Naandika kwa masikitiko makubwa sana Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza ambae mkopo wangu ulienda udsm wakati nimechaguliwa chuo kingine Cha ajabu mpaka ninavoandika uzi huu sijafanikiwa kupata pesa yangu ile Qurtor ya kwanza iliyoenda udsm.
Wiki lililopita nilifatilia...
Ndugu wana jamvi ,Naandika kwa masikitiko makubwa sana Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza ambae mkopo wangu ulienda udsm wakati nimechaguliwa chuo kingine Cha ajabu mpaka ninavoandika uzi huu sijafanikiwa kupata pesa yangu ile Qurtor ya kwanza iliyoenda udsm.
Wiki lililopita nilifatilia...
Ndugu wanajamvi leo nimebet na nimefanikiwa kushinda Tsh milioni saba laki nane na elfu sitini na tano timu za mapema ambazo hata sizijui ,Ushauri ndugu zangu tubet mpaka tuwafilisi hawa wahindi na wazungu Mimi nimeanza kubet nina wiki ya tatu ninaona hiii biashara inalipa kwa sababu...
Ndugu wanajamvi,
Nimepata nyumba nzima vyumba vitatu na sebule na kila chumba ni self, nahitaji mimi vyumba viwili tu nae achukue kimoja na sebule.
Mimi nitalipa laki mbili yeye alipe laki moja tu aliyetayari kama ni binti ani pm tuendeleze maisha.
Heshima yenu wakuuuu,Mkitaka kustarehe njooni KB tabata bima wakuuuu unakunywa bia kuna watoto wazuri na vijambio vyao wakuuu nilikuwa nimeacha bia mpaka Jana nimeirudia aiseee nimetembea viwanja vingi kuna Merdian ,Mango garden ,Kwetu pazuri,,Toraka uje na Nk but KB paradise kiboko yao wakuuuuu
Ndugu wanajamvi hawa Bodi ya mikopo (HESLB) wanasikitisha sana.
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza, mkopo wangu ulienda UDSM wakati mimi nimechaguliwa chuo kingine.Cha ajabu tokea nianze chuo huwa kuna utaratibu kila baada ya miezi miwili kupata pesa but mpaka sasa nimepata Mara moja tu ile...
Ndugu wanajamvi,
Tokea niache pombe nina miezi miwili nimenawiri kila ninaekutana nae ananiambia aisee umenawiri.Halafu vile vile napiga show ya kibabe sana kwa shemeji na mawifi zenu.
Ushauri wakuuu acheni pombe sio nzuri
Ndugu wanajamvi,
Nimesikia uamuzi huu mkesha wasikuu wa jana nimekunywa bia takribani 15 (castle lager) KB Tabata Bima.
Aisee nilimpata mtoto mmoja mzuri sana anasoma chuo cha ualimu St Merry lengo awe mwalimu tulikutana pale tumekunywa pamoja bia nililewa sana tumeondoka SAA 10 pale huwa kuna...
Ndugu wanajamvi Nina shemeji yangu anasoma pale institute of adult education masikini ya mungu tangia aanze chuo mkopo wake ulienda chuo kingine (transfer) nimemkuta leo kajilalia Analia nikamuliza shem kulikoni kaka kakufanyaje akanijibu wewe acha tu nimesaini boom leo nakamilisha wiki ya...
Igweeeeeeeeeeeeeee,ninawadogo zangu watatu mmoja yupo udsm huyu akisaini boom leo baada ya siku tatu mzigo huuoooooo,Sasa hawa wawili wawili sitaji vyuo vyao walienda kama transfer wakisaini wanakaa two weeks wadau kwa nini mda mrefu hivo ? Kuna kuwa kumetokea nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.