Shetani alipewa nafasi kutawala familia hii, kidogo kidogo akajipenyeza kupitia tamaa na uvivu. Kisha akahamia kwenye mahusiano duni ya mke na mume, ndipo akamalizia kwenye hilo la ulawiti. Sasa kijana kishaharibika kabisa . Sijui kama ataweza kuacha.
Kwa hiyo na wewe unataka kutuaminisha kwamba kile kioo ni kigumu kuliko chuma, sivyo? Ndege imekita chini, sehemu ya mbele imepinda( chuma) ila kioo hakijavunjika( kigumu kuliko chuma!)... tafiti vizuri
Hao watapita mitaani kwenu watakusanya pesa kiasi mtakachoweza kuchanga na miaka itaenda hakuna kitakachofanyika. Kifupi ni wezi wa kivikobavikoba.
Target ni kina mama wale desperate, hawa ni rahisi kuwachukulia alfu 5 zao na kuwajaza upepo.. Nawakumbusha tu kuliwahi kuwepo na taasisi hai...
Uniti 1 ya maji ya DAWASA ni Tsh 1,679.6 sawa na lita 1000 ukinywa utatumia siku 333 hivi. Ni kuyachemsha tu na bei ya mkaa haiwezi kufika kote huko😁😁 usitafute sababu. Chemsha maji beba kwenye chupa. Zipo kibao mtaami. Ni fashion pia. Pia unaweza kupunguza matumizi ya pesa ya kununua bia au...
Machangu walinisaidia sana enzi zangu nipo college. Angalau nilikua na uhakika kila wikiendi napata bia mbili na bao..😂😂😂 wapo ma CEO wanasheria bankers watu wa bima masociologist ambao walijiuza na walipata huduma hii ya machangudoa anaebisha aje..
Ni kweli kabisa. Msongo wa mawazo sio kitu kirahisi kwa kweli. Ila kujiua ni uamuzi wa kikatili kuliko wote binadamu anaweza kujifanyia. Unajipa adhabu ambayo hata mahakama haiwezi kumhukumu mtu ajinyonge hado kufa
Mzee wa mbwembwe Mr. SOO MUCH alikua anakamua Chemistry na Mathematics, wazee wa biology kulikua na mkali anaitwa MAKUMAKU..Physics kuna Busanji(RIP) na Ustaadh alikua yuko vizuri sana kwenye Physics..notes za Physics toka kwa Wibonele (RIP)
Tatizo hapa hii habari inaonesha mkanganyiko mkubwa ndani ya hiyo familia. Mwandishi kajitahidi sana kulionesha hili wazi ili tupate picha ila inaonekana kila upande upo sahihi na pia una makosa yake. Mama na nduguze wapo sahihi kwa madai kwamba huyo binti alikua na mahusiano na kijana mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.