kaka MkamaP soma gazeti Huru la tarare 1-7 September jamaa hadi cheti chake cha ndoa kakiweka analia na wizi wa kuibiwa mke wake na SLAA.
MWAKA 2007 ALIPATA MTOTO NA JOSEPHINE. CHETI CHA NDOA CHA JOSEPHINE NA MAHIMBO NI 0006875.
Wanaweweseka na kinana achana nao ndugu yangu.hawa wana zaidi ya hili. Tizama kuna thread zaidi ya nne za kinana kwanini iwe leo? Kuna kubwa hapa bwana buguruni kwa mnyamani.
BUGURUNI tatizo Kinana ni kampeni meneja na ndio roho ya CCM, SASA WAKISHAM DISTURB KINANA WANAAMINI NDIO WATASHINDA.WATASHINDA VIPI KWA MGOMBEA KUWA NA ELIMU YA DARASA LA SABA? MBOWE ANA MADENI HADI BREWERIES. SLAA KAIBA MKE WA MAHIMBO. HAWAAMINIKI HAWA.
Issue kinana ni kampeni meneja hapo ndio Chadema waneumia na kuanza majungu hapa JF.
DJ MBOWE KASAIDIWA SANA NA KINANA LEO ANATUMIA JF KUMSAHMBULIA KINANA.
Mbeya ni kama Nigeria kila kona kuna kanisa.hawa wanaojiita maaskofu ni waimba kwaya.maaskofu wanajulikana vizuri.wataje majina yao tuwajue.ni kundi la Mr.Sugu Hili.
Hao wanajua kuwa KINANA KICHWA CHA CCM ndio maana wanaleta mashambulizi Binafsi.Kinana msomi wa Harvard sio kama Mbowe Form Four au mgombea mwenza wa Chadema Said Mzee MSOMI WA Darasa la saba.na muimba kwaya bwana Slaa.
Mgombea urais wa chadema amepewa milioni 520 ili agombee urais kupitia chadema. Acha shilingi milioni 12 kila mwezi huyu ndio anasema mtetezi wa wanyonge bwana slaa
katika kuondoa dhana ya UDINI kwenye chama cha Chadema mgombea mwenza wa Chadema alivyalishwa Kanzu ili kuonekana ni chama cha wote.cha kujiuliza ni kuwa siku ya Slaa anatangaza nia ya kugombea watu wote walitokea.isipokuwa wabunge wa Kiislam walisusa baada ya kuona kuwa ni mpango wa...
Ndugu yangu wasomi ni muhimu kwenye dunia ya leo.wewe mfuasi wa Chadema unatukana kwa vile Mgombea wako hana elimu ya kutosha.Kunitukana haisaidii kwani Mgombea wako bado ni darasa la saba tu.matusi yako hayampi vyeti. ndio maana Chadema wameshindwa kuzungumzia sera ya Elimu jana kutokana na...
Walisema jana kuwa Mgombea wao hana hajawahi kufanya kazi sehemu yeyote na hana elimu lakini kisiwe kigezo cha kutokumchagua then ndio wakatoa mifano ya viongozi kama Mzee Kawawa.unaweza kucheki Video zao za jana au wasiliana nao upate mkanda wa video wa jana.sasa hata kama mgombea mwenza wenu...
Mheshimiwa nimebahatika kuhudhuria mikutano ya vyama vya CUF,CCM na Chadema vyama viwili vya mwanzo vinaeleza Dira na sera zao kwa wananchi kuwa mkituamini tutafanya hiki na kile karibuni kwenye kila eneo.Chadema aliingia Marando akasema watashughulikia Mafisadi,Mbowe akazungumzia Mafisadi na...
Katika uzinduzi wa kampeni za chadema jana nilishangazwa na tukio la mgombea urais wa chadema kusahau kuzungumzia uchumi wa taifa. Ambapo ndio kitu muhimu sana. Yeye alijikita na habari za ruge na house of talent, badala ya kujadili issue za kitaifa. Wao ugomvi wa watu wawili wameufanya ndio...
Dada regina Elimu haina mbadala.Tizama Video ya Mkutano wa jana.Jangwani kukiri kwa Slaa na Mbowe kuwa elimu haina maana yeyote ni kuonesha kuwa Chadema hawako serious kwenye elimu.karne hii Graduate wako wengi sana kule Zanzibar kuna Digrii Nyingi tu.jiulize Dr.Bilal Gharib amefanya kazi...
Chadema wamesema kuwa wao ni chama makini wanafanya tafiti.Dr Shein ana Phd lazima alifanya utafiti kwenye PhD yake. Mgombea wako kakiri kuwa hana elimu wala uzoefu.
wamekiri kuwa mgombea wao hana elimu wala uzoefu wa kazi.Excuse walioitoa kuwa ni Hata Abdulwakili naye alikuwa hana elimu.lakini wameshindwa kusema uzoefu wa hao wazee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.