Mbele ya jamii Mh. Lusinde mbunge wa mtera anaonekana hamnazo lakini jimboni Mtera aliliangusha Tinga Tinga Malecela, kweli mzee Tingatinga namheshimu sana na nilikuwa najiuliza ilikuaje akaangukia pua, sasa nimepata jibu kama Le mutuz ni miongoni mwa team Tingatinga na pamoja na exposure...
Hivi ukitaka serikali 3 ni lazima uwe CDM, kama ni hivyo CDM inatuwakilisha watanganyika wengi sana tuliochoka kero,malalamiko na masimango ya Wazanzibar, tunao wabeba lkn hawabebeki.
Si kwamba ukiwa mwenyekiti wa bunge la katiba wewe ndie muamuzi kama refarii ktk mchezo wa soka. unaweza ukawa mwenyekiti wa bunge na ukawa muumini wa serikali 2 lakini bado katiba ambayo ikapitishwa na bunge lako ikawa ya serikali 3 maana uamuzi utakuwa unatokana na kura tena za siri sio kama...
kama manji na Kleb wanaivuruga Yanga, RAGE anaifanya nini Simba. Mbona Okwi anawasumbua akili hivyo hadi mnapoteza busara kabisa?
Hivi wewe ni mfanyakazi au kibarua? Hupo dunia gani ndugu yangu? kweli ktk dunia hii unashangaa mkataba wa kazi kuvunjwa sababu muajiriwa hajalipwa miezi sita...
Wewe unashabikia au unafurahia wa Tz. Wenzako kufukuzwa kinguvu ktk makazi waliyokuwa wakiishi. Yaani kosa lao ni kuchagua Cdm au? Siasa za Afrika kazi kweli kweli
Sisi mtani wetu ni (Sunderland) Simba (a.k.a lunyasi) sasa mkibadili jina mtapoteza na kuwachanganya washabiki wenu wa vijijini hadi wajue mmebadili jina miaka itapita hivyo kipindi hicho kutakuwa na washabiki wa Simba ( timu ambayo haipo) na Dar United (jina lisilo na mvuto)
Kifupi hiyo ni...
Sisi tumemchezesha ili tuzipoteze hizo point 3, sasa nashangaa Mtani kuwa na huruma ya cc kupoteza point tatu wakati zitakuinua kutoka kichochoroni (nafasi ya 4).
Na tunamchezesha tena tukicheza na waarabu Al Alhly, hivyo waambieni ili wakate rufaa. Na tukucheza na nyie pia atacheza tena, ili...
Mimi ndio bus ninazo safiri nazo pia ni kweli usemacho,gari ikifika highway hotel kwa ajili ya abiria kupata chakula wale wadada wahudumu ktk basi ututangazia kutoacha mizigo ya thamani inayobebeka kama camera,laptop , simu nk.
Labda mwenzetu hakuzingatia hiyo tahadhari iliyotolewa. Au mhudumu...
Wewe ndoa yako hiyo inatatizo,wallah nakuambia utakuwa unasaidiwa miezi mitatu goli (kaseja) moja mkubwa fumbua macho unasaidiwa,Na wewe mwenyewe unatatizo la nguvu za kiume kwa mwanaume rijali hawezi kukaa miezi mitatu bila tendo akiwa physically fit tena ana mke ndani
Hata cc mateja na wavuta bangi tunaheshimu taratibu, kanuni na sheria tunazojiwekea gheto na maskani na akijitokeza mnafiki/msaliti adhabu atakayopata ni kali na ikiwezekana kifo kabisa
Kawatukana au kawaambia ukweli? Hivi unahitaji hadi uwe na roho mtakatifu ili ujue Lowasa anatoa hela chafu kama misaada na lengo lake ni kujijenga kisiasa ili aje kugombea urais? Cc wote ni binadamu kuwa kiongozi wa dini haina maana kuwa wewe ni malaika au mtakatifu sana kiasi uwe untouchable...
Mandela kanyea kwenye mtondoo miaka 27 mwisho wa siku kawa shujaa wa Dunia. Suala la mtu kumtengenezea kesi mwenzake na kumuweka ndani ili tu yeye afanikisha malengo yake ya kisiasa ni siasa uchwara na ktk dunia ya kistaarabu hazikubaliki. Haki itendeke kama mtu anaanzisha vurugu achukuliwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.