Search results

  1. B

    Mbegu za Hybrid za Nyanya na Watermelon

    mbegu 1000 zinauzwa zaidi ya laki moja???????! mmmmmmhh!!!?
  2. B

    Miche ya mitiki inahitajika

    Mimi Nina niche ya mitiki zaidi ya elfu moja niliyoiweka kwenye viliba, Niko Ruvuma ; kwakuwa unaenda kupanda mbali nitakuuzia shilingi mia mbili kwa kila mche kutoka mia tano kwa kila mche ili fedha nyingine uitumie kama nauli 0758137067
  3. B

    Kipi bora kati ya miembe ya kisasa na mitiki?

    nauza miche ya miti ya mbao ya mitiki tsh300/mche mmoja
  4. B

    Kwa mbwembwe zote zile mshahara wa watumishi wa Umma imeongezwa Tsh 7,000/=(elfu saba tu)

    ==>Wapi madaraja kupandishwa? ==> Je, watumishi wamedanganywa tena? ==> Watumishi mnajisikiaje kutokupandishwa madaraja?
  5. B

    Magufuli ajue Makonda ni Political Scavenger period!

    Atakapo shtuka atakuwa amechelewa
  6. B

    Mtumishi Wa umma mwaka Wa tano hakuna daraja!

    Kipaumbele cha serikali ni viwanja vya ndege,reli,Barbara na bombadie, kama Ethiopia, sio elimu. Tutajuta kwa miaka 14 maana nasikia wanataka kuongeza muda wa kukaa madarakani. Pia hali hii imesaidia kuwafanya waalimu wengi kujitambua na kutoipenda ccm
  7. B

    Mtumishi Wa umma mwaka Wa tano hakuna daraja!

    Kipaumbele cha serikali ni viwanja vya ndege,reli,Barbara na bombadie, kama Ethiopia, sio elimu. Tutajuta kwa miaka 14 maana nasikia wanataka kuongeza muda wa kukaa madarakani. Pia hali hii imesaidia kuwafanya waalimu wengi kujitambua na kutoipenda ccm
  8. B

    Zitto: Upinzani adui yetu ni CCM, tuweke kando tofauti zetu tushirikiane tuhakikishe kata 3 za Dar CCM haipati hata moja

    Zitto umegundua lini kuwa adui yenu ni ccm, siku zote ulikuwa wapi? Ni muhimu upinzani kuungana ila ni mapema sana kukuamini Zitto. Fanya kwanza vitu vitakavyo tufanya tukuamini, umeongelea uchumi lakini bado haitoshi kukuamini tatizo usaliti wako.
  9. B

    Kiongozi gani wa juu muongo kupitiliza? Wangu ni huyu...

    Ni vema spate sifa anayostahili na akosolewe inapostahili
  10. B

    Kiongozi gani wa juu muongo kupitiliza? Wangu ni huyu...

    Arekebishe haraka kabla wananchi hawajapoteza imani kwake
  11. B

    Kiongozi gani wa juu muongo kupitiliza? Wangu ni huyu...

    Mapema Mh. Rais alipoanza kazi aliwavutia watanzania wengi pamoja na mimi kwa hotuba zake zenye kuonesha ana nia ya kweli ya kuwasaidia watz wanyonge. Kwasababu nina desturi ya kutoamini maneno ila ninaamini katika historia na matendo ya mtu, nilichelea kumsifia niliona nisubiri nione angalau...
  12. B

    Wana JF, Tutofautishe Kati ya Kusema Uongo na Kuteleza Ulimi, Rais wa TZ Hawezi Kusema Uongo, Labda Kuteleza tuu!

    Ili kuelewa alicho maanisha inahitaji uwe na akili yako mwenyewe kichwani sio ya kushikiwa
  13. B

    Zanzibar: Kumbukumbu ya kifo cha mwalimu Nyerere, watumishi 59,967 kupandishiwa mishahara na madaraja mwezi ujao

    Ameongea hayo leo juma mosi akiwa Zanzibar kwenye maazimisho ya siku ya vijana/kumbukumbu ya kifo cha mwal. J.K.Nyerere na kuuzima mwenge wa uhuru. Ambapo ameahidi kurekebisha mishahara ya watumishi zaidi ya elfu hamsini. Watumishi wamepata matumaini japo kuwa wengi wao wanashindwa...
  14. B

    Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Mjadala wa mshahara ufungwe mala moja!!!!!
Back
Top Bottom