Washabiki wa JK na muambata wake Balali ooh sorry Bilali ni lazima mtoke kwenye utumwa wa kimawazo na kiakili, miaka mitano tumeishuhudia wote jinsi watu walivyopigika na mafisadi walivyo shine. Leo kama matahaira mnaambiwa mtaletewa maendeleo kwa hari zaidi,nguvu zaidi na kasi zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.